mtu toka mkoa wa Mara hawezi kuongea upuuzi kama huu,wewe hilo siyo jina,kwa jins ulivyotukana unaonekana ww wa Busoga,Bagamoyo,au karibu na maeneo hayo.Chadema ni kama mwanamke mjamzito akifanyiwa zuri kwake karaha akifanyiwa baya ndio tabu! Sasa mnataka Serikali ipuuze kila linalosemwa na Upinzani!