mtu toka mkoa wa Mara hawezi kuongea upuuzi kama huu,wewe hilo siyo jina,kwa jins ulivyotukana unaonekana ww wa Busoga,Bagamoyo,au karibu na maeneo hayo.Chadema ni kama mwanamke mjamzito akifanyiwa zuri kwake karaha akifanyiwa baya ndio tabu! Sasa mnataka Serikali ipuuze kila linalosemwa na Upinzani!
Ndio kwata inayobidi waicheze,wananchi wanajua,....
Hivi mkullo alivosema kupunguza posho,yule Ndungai na mkuchika hawa
kuzimia?
kazi ipo. Hata kazi ya upinzani katika serikali hujui. Sehemu mojawapo ni kuikosoa na kuishauri serikali. Hata wanafunzi huotea maswali na hatimaye kusema walijua mtihani utakuwaje. Matatizo ya nchi hata mtoto mdogo anajua. Chadema inachofanya inatoa pointi kwa ccm. Hilo bado hawajashitukia. Ukitoa mbinu ya mchezo wako na adui yako akawai kuutumia nani atapoteza game.
Chadema ni kama mwanamke mjamzito akifanyiwa zuri kwake karaha akifanyiwa baya ndio tabu! Sasa mnataka Serikali ipuuze kila linalosemwa na Upinzani!
Matrafiki wapewa ulaji"makosa barabarani"faini yake imepandishwa kutoka Elfu ishirini hadi Elfu hamsini.
Si watatuua na hivi sheria za barabarani haziko wazi kwa watumia barabara kazi tunayoMatrafiki wapewa ulaji"makosa barabarani"faini yake imepandishwa kutoka Elfu ishirini hadi Elfu hamsini.
mtu toka mkoa wa Mara hawezi kuongea upuuzi kama huu,wewe hilo siyo jina,kwa jins ulivyotukana unaonekana ww wa Busoga,Bagamoyo,au karibu na maeneo hayo.
Wana JF mnaofuatilia bunge sasa ivi mmemsikia waziri wa fedha anavosoma budget..? anasema serekali itapunguza safari za viongozi njee na ndani ya nchi, watapunguza msafara na msururu wa wapambe kwenye safari ambazo ni za lazima, watapunguza posho za viongozi zisizo lazima etc, sasa kwanini usikubali chadema ndio inaongoza nchi hii..? afadhali magamba mmekubali mapungufu yenu na kuchukua ushauri wa wataalam wa uchumi wa chadema
Maslahi kwa watumishi wa Umma imeachwa hewani hawajabainisha hata Mshahara kima cha chini wataongeza asilimia ngapi
This has been the case since the 2010 Elections,
1. New constitution
2. ......
3. ......
4. ......
Chadema ni kama mwanamke mjamzito akifanyiwa zuri kwake karaha akifanyiwa baya ndio tabu! Sasa mnataka Serikali ipuuze kila linalosemwa na Upinzani!
Serikali imependekeza kupanua magereza na kununua mabomu ya machozi zaidi
It is not a joke!you are joking, right??