Bunge la bajeti lilikuwa kama kikao cha CCM, Ndugai kawapokea Lijualikali na Silinde huku Dr. Mpango na Ummy wakitangaza nia

Bunge la bajeti lilikuwa kama kikao cha CCM, Ndugai kawapokea Lijualikali na Silinde huku Dr. Mpango na Ummy wakitangaza nia

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mungu ni mwema hatimaye bunge la Ndugai linafikia tamati kwa utulivu na amani.

Lakini mkutano huu wa bunge la bajeti utaacha historia ya aina yake.

Mosi, wabunge watatu mashuhuri wamefariki wakati bunge likiendelea na vikao vyake.

Pili, Wabunge wa Chadema wakiwa ndani ya bunge wametangaza kuhamia CCM na kupokelewa na mjumbe wa kamati kuu ndugu Job Ndugai.

Tatu, KUB amejeruhiwa katika mazingira tatanishi na hadi sasa haijawa wazi kama " alikanyagwa kanyagwa" kama polisi walivyosema au alianguka kwa ulevi kama Spika na baadhi ya wabunge wanavyoamini.

Nne, Mawaziri wawili Ummy Mwalimu na Dr. Mpango wametangaza nia ya kuwania ubunge na kutaja majimbo husika huku wabunge wa majimbo hayo wakiwakodolea mimacho ya Hapa Kazi Tu.

Nawatakia Ijumaa yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
“Bunge la bajeti lilikuwa kama kikao cha CCM”.

Rejea hapo.
 
Bado natafakari kwanini Zitto Kabwe kaogopa kabisa kuhudhuria Vikao vyote vya Bunge la Bajeti la Mwisho, yaan hajasogea hata Dodoma.

Si kawaida yake kwa jinsi alivyo na kiherehere hasa ukizingatia ni bunge la mwisho kwa awamu hii ya miaka 5
 
“Bunge la bajeti lilikuwa kama kikao cha CCM”.

Rejea hapo.
Yaani nime furahi kuisha kwa hili bunge..
Ni kati ya bunge lililo kuwa hovyo katika historia ya Tanzania. Ina mambo mengi ya ajabu ambayo hata ukiamua kuya taja hayata kwisha leo..
Ila zaidi kuna mtu alikuwa kituko bungeni na sio mwingine bali ni Ndugai na timu yake ya akina Msukuma, na timu yake ambao kwa kweli walikuwa waigizaji na sio wabunge.. Naamini walio wapa kura hawata fanya kosa kuwarudisha tena bungeni..
 
Tuna bunge la ajabu haijawai tokea. In my own voice.
 
Kikao cha wapagazi wa CCM kimeelekea ukingoni.

Siku hizi ni kama Baraza la Kahawa tu
 
Mungu ni mwema hatimaye bunge la Ndugai linafikia tamati kwa utulivu na amani.

Lakini mkutano huu wa bunge la bajeti utaacha historia ya aina yake.

Mosi, wabunge watatu mashuhuri wamefariki wakati bunge likiendelea na vikao vyake.

Pili, Wabunge wa Chadema wakiwa ndani ya bunge wametangaza kuhamia CCM na kupokelewa na mjumbe wa kamati kuu ndugu Job Ndugai.

Tatu, KUB amejeruhiwa katika mazingira tatanishi na hadi sasa haijawa wazi kama " alikanyagwa kanyagwa" kama polisi walivyosema au alianguka kwa ulevi kama Spika na baadhi ya wabunge wanavyoamini.

Nne, Mawaziri wawili Ummy Mwalimu na Dr. Mpango wametangaza nia ya kuwania ubunge na kutaja majimbo husika huku wabunge wa majimbo hayo wakiwakodolea mimacho ya Hapa Kazi Tu.

Nawatakia Ijumaa yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
ndipo CCM ya awamu ya 5 ilipofika hapo.

utoto na uzwazwa mtupu!
 
Sawa bwana naona mmetubana hatuna Pa kupumua
Uwanja wenu

Ova
 
Bunge la hovyo kuwahi kutokea Tanzania, lilikuwa chini ya Spika Job Ndugai, na Naibu Spika Dr. Tulia Ackson.
 
Bado natafakari kwanini Zitto Kabwe kaogopa kabisa kuhudhuria Vikao vyote vya Bunge la Bajeti la Mwisho, yaan hajasogea hata Dodoma.

Si kawaida yake kwa jinsi alivyo na kiherehere hasa ukizingatia ni bunge la mwisho kwa awamu hii ya miaka 5
Zitto alioteshwa CCM inamtafuta kumwangamiza..mnataka wamkanyage kama MBOWE mpate kusingizia alikuwa na kimada wa mtu akapigwa
 
Mungu ni mwema hatimaye bunge la Ndugai linafikia tamati kwa utulivu na amani.

Lakini mkutano huu wa bunge la bajeti utaacha historia ya aina yake.

Mosi, wabunge watatu mashuhuri wamefariki wakati bunge likiendelea na vikao vyake.

Pili, Wabunge wa Chadema wakiwa ndani ya bunge wametangaza kuhamia CCM na kupokelewa na mjumbe wa kamati kuu ndugu Job Ndugai.

Tatu, KUB amejeruhiwa katika mazingira tatanishi na hadi sasa haijawa wazi kama " alikanyagwa kanyagwa" kama polisi walivyosema au alianguka kwa ulevi kama Spika na baadhi ya wabunge wanavyoamini.

Nne, Mawaziri wawili Ummy Mwalimu na Dr. Mpango wametangaza nia ya kuwania ubunge na kutaja majimbo husika huku wabunge wa majimbo hayo wakiwakodolea mimacho ya Hapa Kazi Tu.

Nawatakia Ijumaa yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
So amepokea maagizo ya kuwapokea au,
Ila juakali ameitendea haki interview
 
Naona mabandiko yako siku hizi ni ya ubatizo tu.
Mungu ni mwema hatimaye bunge la Ndugai linafikia tamati kwa utulivu na amani.

Lakini mkutano huu wa bunge la bajeti utaacha historia ya aina yake.

Mosi, wabunge watatu mashuhuri wamefariki wakati bunge likiendelea na vikao vyake.

Pili, Wabunge wa Chadema wakiwa ndani ya bunge wametangaza kuhamia CCM na kupokelewa na mjumbe wa kamati kuu ndugu Job Ndugai.

Tatu, KUB amejeruhiwa katika mazingira tatanishi na hadi sasa haijawa wazi kama " alikanyagwa kanyagwa" kama polisi walivyosema au alianguka kwa ulevi kama Spika na baadhi ya wabunge wanavyoamini.

Nne, Mawaziri wawili Ummy Mwalimu na Dr. Mpango wametangaza nia ya kuwania ubunge na kutaja majimbo husika huku wabunge wa majimbo hayo wakiwakodolea mimacho ya Hapa Kazi Tu.

Nawatakia Ijumaa yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Sema kwa sababu Safari hii mwenyekiti ndie atakaepiga kura wahamiaji wote ni lzm warudi bungeni,ili waje kumsaidia kubadili katiba
 
Back
Top Bottom