Bunge la bajeti lilikuwa kama kikao cha CCM, Ndugai kawapokea Lijualikali na Silinde huku Dr. Mpango na Ummy wakitangaza nia

Bunge la bajeti lilikuwa kama kikao cha CCM, Ndugai kawapokea Lijualikali na Silinde huku Dr. Mpango na Ummy wakitangaza nia

Kwani matanga ya Taifa nae anataka kupewa kinga? Vipi mtoto wa dada?
 
Na ni bunge ambalo Spika amewahakikishia wabunge kuwa kila mtu atarudi na cheo chake alicho nacho sasa na "watamlazimisha" Magufuli aongeze muda wa urais.
 
Back
Top Bottom