Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 18,813 Reaction score 21,830 Jun 12, 2020 #21 Kwani matanga ya Taifa nae anataka kupewa kinga? Vipi mtoto wa dada?
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Jun 12, 2020 #22 Ayubu amelishusha hadhi sana Bunge hili
G Sam JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 11,795 Reaction score 36,704 Jun 12, 2020 #23 Na ni bunge ambalo Spika amewahakikishia wabunge kuwa kila mtu atarudi na cheo chake alicho nacho sasa na "watamlazimisha" Magufuli aongeze muda wa urais.
Na ni bunge ambalo Spika amewahakikishia wabunge kuwa kila mtu atarudi na cheo chake alicho nacho sasa na "watamlazimisha" Magufuli aongeze muda wa urais.