Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9

Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9

kuna imani nyingine unajiuliza kama mtoto angeachwa akakua na kufikia umri wa miaka 18+ bila kushurutishwa alafu akapewa kitabu cha dini akakisoma na kukielewa kila kitu, lazima angehoji vitu vya msingi na wenye dini yao wangekasirika na kuondoka na kitabu chao
 
Kwani dini inasemaje kuhusu kuoa mtoto wa miaka 9?!
Dini inasema mtoto wa kike akisha baleghe anafaa kuolewa wako wana baleghe miaka 9 wengine 13 wengine 18 kwa hio umri hauhusiku na kuolewa kinacho husika ni binti kuwa baleghe

Kuna lingine.

Oops hivi mama yake Yesu unajua aliposwa ana umri gani? Na alizaa ana umri gani najua wazi utaingia mtini 😄
 

Bunge la Iraqi linataka kuruhusu wasichana wa miaka 9 kuolewa kihalali, kwa sasa umri unauruhusiwa na katiba ili binti aolewe ni miaka 15, bunge linataka umri huo upunguzwe hadi miaka 9.

Muongozo unaofatwa ni Sharia Law ambayo ni mkusanyiko wa sheria kadhaa za dini.
===

Iraq plans to lower the marriage age for girls to nine​

A proposed Iraqi bill aimed at lowering the legal marriage age for girls to 9 has ignited widespread opposition. Critics state it would increase child marriage and exploitation while undermining women's rights. Human rights organizations warn it threatens girls' education and well-being, calling it a step backward for the country.

An Iraqi woman protests against a proposed law to permit underage female marriage in Tahrir Square in Baghdad, Iraq.

A proposed bill in Iraq's Parliament to lower the legal marriage age for girls to just nine years has triggered significant controversy. Introduced by the Iraq Justice Ministry, the bill aims to amend the Personal Status Law, which currently sets the minimum age for marriage at 18.

The proposed bill will reduce the marriage age for girls
If enacted, the bill would allow girls as young as nine and boys as young as 15 to marry. This change has raised concerns about increased child marriage and exploitation. Critics argue that it would reverse progress in women's rights and gender equality.

Human rights organizations, women's groups, and civil society activists have strongly opposed the bill. They warn it would negatively impact young girls' education, health, and well-being, leading to higher dropout rates, early pregnancies, and increased domestic violence. UNICEF reports that 28 percent of girls in Iraq are already married before 18.

"Passing this law would show a country moving backward, not forwards," said Sarah Sanbar, a researcher at Human Rights Watch.

Propose Changes in Iraq Marriage Bill
The bill proposes allowing citizens to choose between religious authorities or civil judiciary for family matters. Critics fear this could erode rights related to inheritance, divorce, and child custody. The bill's proponents argue it would standardize Islamic law and protect young girls from "immoral relationships," but opponents believe this justification is flawed.

In late July, the parliament withdrew the proposed changes due to objections from many lawmakers. However, the bill reappeared in an August 4 session after gaining support from influential Shia blocs.
The draft bill stipulates that couples must choose between the Sunni or Shia sect for "all matters of personal status."

It specifies that in the event of a dispute between spouses about the doctrine under which their marriage contract was made, the contract will be considered valid under the husband's doctrine unless proven otherwise.

The proposed change would allow the Shiite and Sunni endowments to officiate marriages instead of the courts.

Additionally, the draft bill mandates that Shia and Sunni endowments present a "code of legal rulings" to the Iraqi Parliament within six months of the amendments being ratified.

Historical Context
The proposed amendment would reverse changes made by the 1959 legislation, which transferred family law authority from religious figures to the state judiciary. The new bill would reintroduce the option for applying religious rules, mainly from Shia and Sunni Islam, but does not address other religious or sectarian communities in I
 
Nijukumu la mzaz kumlinda mtoto sasa kwa nn wanataka kuwaozesha wadogo?
Huo hizo ni akili za kishetan
Je wewe upo tayari kumuozesha mwanao wa miaka 9?

Mkiitwa wahuni mnalialia ndiyo maana marekan anawanyoosha maana wamezidi ujinga
Mimi siozeshi binti yangu hata awe ana miaka 59 kama hataki kuolewa au hata miaka 80 au maisha yake yote huo ni ushauri wake yeye sio wangu.

America ni nani wewe bwege kwanza aondoe ujinga wa baba ku rape mabinti zake huko US au Europe kabla ya kuja kuwafundisha waislam lipi zuri na lipi baya.


Nyie wakristo wengi wenu mnarape ma binti zenu mkisha piga konyagi au pombe. Afu unasikia tu yule jirani ka rape binti zake afu jumapili anaenda nao kanisani kuimba kwaya haha afu mchezo unaendela kama kawaida.
 
Mimi siozeshi binti yangu hata awe ana miaka 59 kama hataki kuolewa au hata miaka 80 au maisha yake yote huo ni ushauri wake yeye sio wangu.

America ni nani wewe bwege kwanza aondoe ujinga wa baba ku rape mabinti zake huko US au Europe kabla ya kuja kuwafundisha waislam lipi zuri na lipi baya.


Nyie wakristo wengi wenu mnarape ma binti zenu mkisha piga konyagi au pombe. Afu unasikia tu yule jirani ka rape binti zake afu jumapili anaenda nao kanisani kuimba kwaya haha afu mchezo unaendela kama kawaida.
Ungetoa na mfano halisi wa waliobaka na kubakwa.
 

Bunge la Iraqi linataka kuruhusu wasichana wa miaka 9 kuolewa kihalali, kwa sasa umri unauruhusiwa na katiba ili binti aolewe ni miaka 15, bunge linataka umri huo upunguzwe hadi miaka 9.

Muongozo unaofatwa ni Sharia Law ambayo ni mkusanyiko wa sheria kadhaa za dini.
===

Iraq plans to lower the marriage age for girls to nine​

A proposed Iraqi bill aimed at lowering the legal marriage age for girls to 9 has ignited widespread opposition. Critics state it would increase child marriage and exploitation while undermining women's rights. Human rights organizations warn it threatens girls' education and well-being, calling it a step backward for the country.

An Iraqi woman protests against a proposed law to permit underage female marriage in Tahrir Square in Baghdad, Iraq.

A proposed bill in Iraq's Parliament to lower the legal marriage age for girls to just nine years has triggered significant controversy. Introduced by the Iraq Justice Ministry, the bill aims to amend the Personal Status Law, which currently sets the minimum age for marriage at 18.

The proposed bill will reduce the marriage age for girls
If enacted, the bill would allow girls as young as nine and boys as young as 15 to marry. This change has raised concerns about increased child marriage and exploitation. Critics argue that it would reverse progress in women's rights and gender equality.

Human rights organizations, women's groups, and civil society activists have strongly opposed the bill. They warn it would negatively impact young girls' education, health, and well-being, leading to higher dropout rates, early pregnancies, and increased domestic violence. UNICEF reports that 28 percent of girls in Iraq are already married before 18.

"Passing this law would show a country moving backward, not forwards," said Sarah Sanbar, a researcher at Human Rights Watch.

Propose Changes in Iraq Marriage Bill
The bill proposes allowing citizens to choose between religious authorities or civil judiciary for family matters. Critics fear this could erode rights related to inheritance, divorce, and child custody. The bill's proponents argue it would standardize Islamic law and protect young girls from "immoral relationships," but opponents believe this justification is flawed.

In late July, the parliament withdrew the proposed changes due to objections from many lawmakers. However, the bill reappeared in an August 4 session after gaining support from influential Shia blocs.
The draft bill stipulates that couples must choose between the Sunni or Shia sect for "all matters of personal status."

It specifies that in the event of a dispute between spouses about the doctrine under which their marriage contract was made, the contract will be considered valid under the husband's doctrine unless proven otherwise.

The proposed change would allow the Shiite and Sunni endowments to officiate marriages instead of the courts.

Additionally, the draft bill mandates that Shia and Sunni endowments present a "code of legal rulings" to the Iraqi Parliament within six months of the amendments being ratified.

Historical Context
The proposed amendment would reverse changes made by the 1959 legislation, which transferred family law authority from religious figures to the state judiciary. The new bill would reintroduce the option for applying religious rules, mainly from Shia and Sunni Islam, but does not address other religious or sectarian communities in Iraq.
Kweli akili hakuna kabisa, yani single digit age!!!
 

Bunge la Iraqi linataka kuruhusu wasichana wa miaka 9 kuolewa kihalali, kwa sasa umri unauruhusiwa na katiba ili binti aolewe ni miaka 15, bunge linataka umri huo upunguzwe hadi miaka 9.

Muongozo unaofatwa ni Sharia Law ambayo ni mkusanyiko wa sheria kadhaa za dini.
===

Iraq plans to lower the marriage age for girls to nine​

A proposed Iraqi bill aimed at lowering the legal marriage age for girls to 9 has ignited widespread opposition. Critics state it would increase child marriage and exploitation while undermining women's rights. Human rights organizations warn it threatens girls' education and well-being, calling it a step backward for the country.

An Iraqi woman protests against a proposed law to permit underage female marriage in Tahrir Square in Baghdad, Iraq.

A proposed bill in Iraq's Parliament to lower the legal marriage age for girls to just nine years has triggered significant controversy. Introduced by the Iraq Justice Ministry, the bill aims to amend the Personal Status Law, which currently sets the minimum age for marriage at 18.

The proposed bill will reduce the marriage age for girls
If enacted, the bill would allow girls as young as nine and boys as young as 15 to marry. This change has raised concerns about increased child marriage and exploitation. Critics argue that it would reverse progress in women's rights and gender equality.

Human rights organizations, women's groups, and civil society activists have strongly opposed the bill. They warn it would negatively impact young girls' education, health, and well-being, leading to higher dropout rates, early pregnancies, and increased domestic violence. UNICEF reports that 28 percent of girls in Iraq are already married before 18.

"Passing this law would show a country moving backward, not forwards," said Sarah Sanbar, a researcher at Human Rights Watch.

Propose Changes in Iraq Marriage Bill
The bill proposes allowing citizens to choose between religious authorities or civil judiciary for family matters. Critics fear this could erode rights related to inheritance, divorce, and child custody. The bill's proponents argue it would standardize Islamic law and protect young girls from "immoral relationships," but opponents believe this justification is flawed.

In late July, the parliament withdrew the proposed changes due to objections from many lawmakers. However, the bill reappeared in an August 4 session after gaining support from influential Shia blocs.
The draft bill stipulates that couples must choose between the Sunni or Shia sect for "all matters of personal status."

It specifies that in the event of a dispute between spouses about the doctrine under which their marriage contract was made, the contract will be considered valid under the husband's doctrine unless proven otherwise.

The proposed change would allow the Shiite and Sunni endowments to officiate marriages instead of the courts.

Additionally, the draft bill mandates that Shia and Sunni endowments present a "code of legal rulings" to the Iraqi Parliament within six months of the amendments being ratified.

Historical Context
The proposed amendment would reverse changes made by the 1959 legislation, which transferred family law authority from religious figures to the state judiciary. The new bill would reintroduce the option for applying religious rules, mainly from Shia and Sunni Islam, but does not address other religious or sectarian communities in Iraq.
Sijui shost Faiza analizungumziaje hili
 
Dini inasema mtoto wa kike akisha baleghe anafaa kuolewa wako wana baleghe miaka 9 wengine 13 wengine 18 kwa hio umri hauhusiku na kuolewa kinacho husika ni binti kuwa baleghe

Kuna lingine.

Oops hivi mama yake Yesu unajua aliposwa ana umri gani? Na alizaa ana umri gani najua wazi utaingia mtini 😄
Kwa kuwa mabinti wanatofautiana umri wa kubalehe, angalau Sheria iseme Binti akibalehe ni ruhusa kuolewa. Lakini kusema miaka 9 jua ubakaji utatokea.
Isitoshe Biblia haisemi Maria alichumbiwa akiwa na umri Gani. Umri itakaotajwa ni assumptions tu kwa kuzingatia Hali ya mashariki ya Kati. Hivyo hakuna jibu.
 
Kwa kuwa mabinti wanatofautiana umri wa kubalehe, angalau Sheria iseme Binti akibalehe ni ruhusa kuolewa.
Isitoshe Biblia haisemi Maria alichimbiwa akiwa na umri Gani. Umri itakaotajwa ni assumptions tu kwa kuzingatia Hali ya mashariki ya Kati. Hivyo hakuna jibu.
Biblia hsijahusishwa kwenye hayo mambo ya Iraq.Jikite kwenye Qura'an.
 
Mbona zamani huko kwa wasukuma watu walikuwa wanaoa mimba!! Wanatoa magari kabisa ikitokea akazaliwa wa kiume basi anakuwa rafiki. Anapozaliwa mtoto wa kike anakuwa mke wa jamaa lakini atasubiri mpaka anapokuwa mtu mzima
 
Back
Top Bottom