Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9

Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9

Hujui kwamba iraq pia kuna wakristo au kwako kila mzungu padri
Na hujui kwamba israel kuna waislamu wenhi kuliko wakristo
child marriages are customary for a certain religion. Infact it is a feature not a bug
 

Bunge la Iraqi linataka kuruhusu wasichana wa miaka 9 kuolewa kihalali, kwa sasa umri unauruhusiwa na katiba ili binti aolewe ni miaka 15, bunge linataka umri huo upunguzwe hadi miaka 9.

Pia soma: Child marriage ban welcomed in Sierra Leone

Muongozo unaofatwa ni Sharia Law ambayo ni mkusanyiko wa sheria kadhaa za dini.
===

Iraq plans to lower the marriage age for girls to nine​

A proposed Iraqi bill aimed at lowering the legal marriage age for girls to 9 has ignited widespread opposition. Critics state it would increase child marriage and exploitation while undermining women's rights. Human rights organizations warn it threatens girls' education and well-being, calling it a step backward for the country.

An Iraqi woman protests against a proposed law to permit underage female marriage in Tahrir Square in Baghdad, Iraq.

A proposed bill in Iraq's Parliament to lower the legal marriage age for girls to just nine years has triggered significant controversy. Introduced by the Iraq Justice Ministry, the bill aims to amend the Personal Status Law, which currently sets the minimum age for marriage at 18.

The proposed bill will reduce the marriage age for girls
If enacted, the bill would allow girls as young as nine and boys as young as 15 to marry. This change has raised concerns about increased child marriage and exploitation. Critics argue that it would reverse progress in women's rights and gender equality.

Human rights organizations, women's groups, and civil society activists have strongly opposed the bill. They warn it would negatively impact young girls' education, health, and well-being, leading to higher dropout rates, early pregnancies, and increased domestic violence. UNICEF reports that 28 percent of girls in Iraq are already married before 18.

"Passing this law would show a country moving backward, not forwards," said Sarah Sanbar, a researcher at Human Rights Watch.

Propose Changes in Iraq Marriage Bill
The bill proposes allowing citizens to choose between religious authorities or civil judiciary for family matters. Critics fear this could erode rights related to inheritance, divorce, and child custody. The bill's proponents argue it would standardize Islamic law and protect young girls from "immoral relationships," but opponents believe this justification is flawed.

In late July, the parliament withdrew the proposed changes due to objections from many lawmakers. However, the bill reappeared in an August 4 session after gaining support from influential Shia blocs.
The draft bill stipulates that couples must choose between the Sunni or Shia sect for "all matters of personal status."

It specifies that in the event of a dispute between spouses about the doctrine under which their marriage contract was made, the contract will be considered valid under the husband's doctrine unless proven otherwise.

The proposed change would allow the Shiite and Sunni endowments to officiate marriages instead of the courts.

Additionally, the draft bill mandates that Shia and Sunni endowments present a "code of legal rulings" to the Iraqi Parliament within six months of the amendments being ratified.

Historical Context
The proposed amendment would reverse changes made by the 1959 legislation, which transferred family law authority from religious figures to the state judiciary. The new bill would reintroduce the option for applying religious rules, mainly from Shia and Sunni Islam, but does not address other religious or sectarian communities in Iraq.

The Economic Times
Kuhusu hiyo sheria ..mimi siwezi kusema ni mbaya kwa sababu je duniani hakujawai kuwa na maisha bila ya tamko la kisheria la upi umri wa kuoa au kuolewa ...kitu cha msingi ni kutokumlazimisha mtu kuolewa au kuoa. Hivyo hiyo sheria itambue ndoa bila ya shuruti ya muoaji na muolewaji basi haina shida.
 
Sharia law ni kitu gani ?
Kondoo walio potea tabu sana watu wanasoma bibilia wanayo soma hawaielewi wakaelewe uislam 😄

Wanadhani Iraq hakuna wskristo kwenye hio serekali, pili hio ni sheria wana discuss bado inaweza ikapitishwa au isipitishwe. Mfano imepitishwa ndio wa Iraq watalazmishwa kuozesha mabinti zao. Watu wanao abudu binadamu wakasema Mungu akili zao unadhani ziko sawa.
 
Kuhusu hiyo sheria ..mimi siwezi kusema ni mbaya kwa sababu je duniani hakujawai kuwa na maisha bila ya tamko la kisheria la upi umri wa kuoa au kuolewa ...kitu cha msingi ni kutokumlazimisha mtu kuolewa au kuoa. Hivyo hiyo sheria itambue ndoa bila ya shuruti ya muoaji na muolewaji basi haina shida.
We una akili sio hao waimba kwaya.
 
We una akili sio hao waimba kwaya.
Sema walicho kosea ni kimoja wangesema baada ya msichana kuvunja ungo ...kama ni miaka 10 au 11 au 12 nk basi anaweza kuolewa kwa ihali ...maana hata kidini kuvunja ungo ni mpaka uliowekwa wa mtoto kuwa katika hatua sahihi ya kuanzisha familia
 
Bila Wazungu Dunia ingekuwa kituko.
Kuna kituko kikubwa zaidi ya kuruhusu ndoa zamapenzi ya jinsia moja toka kwa hao wazungu
Mfano tu hapo kwako una wanao wawili ester na emanuel akaja mwamba anataka aoe mtoto wako mmoja utampa yupi amuoe
Angalizo wote wawe na miaka 9
 
"Education is the most powerful weapon which you can use to change the world"

"Nelson Mandela"


Haya ndio madhara ya kuona madrasa ndio elimu kubwa wanayotakiwa kupata.

Na bado watapunguza tena maana kwenye sekta hii wamewekeza sana duniani na ahera (bikra 72)
Sasa si bora hao walosema waoelewe watoto wakike
Ila nyie makanisani munashadadia wanaume kwa wanaume na wanawake kwa wanawake kuoana hata uchafu hamuoni
Kua mkristo unatakiwa uwe na upungufu wa akili
 
Mie naangalia tatizo culturally, ukiingiza mambo ya Israel that becomes political. Siko huko kwa uelewa wa misimamo ya watu umu na sensitivity ya dini zao pamoja na siasa Middle East.

Morally, culture tends to evolve overtime. Dunia ya leo watu wazima kupitisha sheria inayo halalisha mtu mzima kuoa mtoto wa miaka tisa is beyond. Hili sio swala la Iraq ni swala la dunia kupinga hii abuse.
Siungi mkono kinachoendelea iraq hapana
Ila abuse mmeiona hii inayoendelea huko tu
Kuna abuse ngapi kama kweli wapenda haki zinatakiwa zipigiwe kelele
Huo unafiq wenu utaisha lini ?
 
Hakuna jamii moja moja kwa ukatili
Hata waswahili kila leo kuna kesi za hivi tena kuna washenzi ambao wanabaka watoto wao au wajomba
Ukatili hauna matabaka kila sehemu upo
Si juzi tu hapa mtandaoni imesambaa video chafu majamaa saba sijui mangapi yanambaka mtoto
Inasemekana yule dogo ana miaka 17 kwasheria zao yule ni mtoto
Inasemekana lile tukio limetokea dodoma
Muulize dodoma ni mji wa taifa lipi la kiarabu pale mashariki ya kati?
 
Huyu mwarabu alileta Mila za hovyo sana afrika. Kana mamtu ya nayopatikana pembezoni mwa bahati ya Hindi ndio walipokea Mila hizo na wao kwa Sasa wanafikiri ni utamadini wao. Huo ni ubakaji maana lengi lao eti wake mabikira maana wanaona hata hao wa 15 tayari Sasa wamekuja kwa hivi vitoto kabisa. Hivi waamini wa Mila hizi wanaamini kabisa kuwa njia hiyo itawapeleka kwa Mungu wa kweli? Au ni Mungu wa mchongo?
Huko katika bahari ya hindi maeneo yanayopatikana huko
Kuanzia somalia kenya mpaka tanzania huko uwanda wa pwani ndio uwanda ambao umestaarabika kuliko sehemu nyengine yeyeote ile
Kama umefika mombasa dar lamu zanzibar mtwara tanga na lindi yote haya utaweza kuyajua
Narudia tena kanda ya bahari ndio sehemu staarabika kuliko yote hapo afrika mashariki
 
Back
Top Bottom