Bunge la Iraq limepitsha rasmi sheria ya kuhalalisha ndoa za wasichana wenye umri wa miaka 9

Ashakum sinmatusi uislamu ni dini ya ajabu sana
Ya ajabu kwa asiyeijua, hata Mimi naushanga upande wa pili hawaoi ila shughuli mbadala zinaemdelea Kama kawaida kwa hiyo hakuna kipya chini ya jua
 
Kati ya hiyo na wanaohalalisha mapenzi ya jinsia moja kipi kina nafuu?
 
Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiirrrr
 
WTF
 
Hahahaha 😂 daaah 🙌🏾🙌🏾,,ndo waamue kua wakatili kwa watoto kisa kukwepa mashimo.
😹😹😹 Hao waarabu ni watu wa hovyo kuwahi kutokea, ngono kwao ni kipaumbele na shimo lolote wao wanatumbukia..!!
 
Mtu zimevurugwa hatari ubakaji inje inje
 
Mtu zimevurugwa hatari ubakaji inje
 
Palepale inapotoka ya above 18? Kwahiyo Muhammad alikosea kumuoa Aysha?

Nyie Makafiri washamba sana
Yani ungekuwa karibu ningekurapua kofi nikuue, na nisingejuta kwa mpuuzi na mfia dini kama ww.
 
Kwani hawa wanatofauti na hawa wetu wanaobakwa!
 
Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiirrrr
Yaani nina hamu ijumaa ifike nimsikie sheikh akitoa mawaidha juu ya hii fursa mpya toka Arabuni......maana sheikh wa hapa mtaani kwetu inasadikika anafuga mabwabwa pale kwake. Utashangaa anakaa mkekani akila ubwabwa na mabwabwa wake huku wake zake wakila uwani na watoto.
 
Pilipili ziko shamba zakiwashia nini?! Waache wafanye wanavyotaka katika nchi yao! Wakija kumposa mwanao wakatalie.!
 
Kuna watu nawaona wamekaa mkao wa kushadadia hilo, na huenda wakataka na wao waruhusiwe kwenye kipande chao cha ardhi
 
Jamani...mbona huu ni ubakaji
Nauliza . Katika dini ya kikristo umri wa kuoa na kuolewa ni miaka mingapi?! Ukijibu uweke na andiko! Ninavyofahamu habari ya kuolewa na kuoa kuanzia mika 18 tumeletewa na wakolini.
Sasa nauliza wakristo inatakiwa uwe na miaka mingapi ndio uoe au uolewe? Pomoja na andiko tafadhali!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…