Chadema Diaspora
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 480
- 644
Kwa nini wajumbe wote walio changia kutaka kura ya WAZI ni CCM, lakini wanao taka kura ya SIRI ni wanatoka makundi mbarimbari?
Hawa ni baadhi ya wanaotaka kura ya WAZI
1.Pfr.Anna Tibaijuka, (CCM)
2.Hawa Ghasia, (CCM)
3.Hamis Kigwangala, (CCM)
4.Henry Shekifu, (CCM) 5.Stephen Wassira, (CCM)
6.Willium Lukuvi (CCM) etc...
Hawa ni baadhi ya waliochangia kutaka KURA YA SIRI
1.Halima Mdee, (CHADEMA)
2.Hashim Rungwe, (NCCR)
3.Mch.Msigwa, (CHADEMA)
4.John Mnyika, (CHADEMA)
5.Esther Bulaya, (CCM)
6.Juma Haji Duni (CUF).
7.Prof.Juma Kapuya (CCM)
So observation ya haraka inaonesha KURA YA SIRI inaungwa mkono na makundi mbalinbali, wapo CHADEMA, CCM, CUF, NCCR, Taasisi za dini, NGOs, vyama vya hiari etc. Lakini KURA YA WAZI inaungwa mkono na kundi moja tu, CCM. We unadhani CCM na kura yao ya wazi watashinda, wakati wameanza kugeukana? Na ni kwa nini CCM peke yao ndo wanataka kura ya wazi? By Mtatiro
Source:Julius S. Mtatiro Facebook Wall
Hawa ni baadhi ya wanaotaka kura ya WAZI
1.Pfr.Anna Tibaijuka, (CCM)
2.Hawa Ghasia, (CCM)
3.Hamis Kigwangala, (CCM)
4.Henry Shekifu, (CCM) 5.Stephen Wassira, (CCM)
6.Willium Lukuvi (CCM) etc...
Hawa ni baadhi ya waliochangia kutaka KURA YA SIRI
1.Halima Mdee, (CHADEMA)
2.Hashim Rungwe, (NCCR)
3.Mch.Msigwa, (CHADEMA)
4.John Mnyika, (CHADEMA)
5.Esther Bulaya, (CCM)
6.Juma Haji Duni (CUF).
7.Prof.Juma Kapuya (CCM)
So observation ya haraka inaonesha KURA YA SIRI inaungwa mkono na makundi mbalinbali, wapo CHADEMA, CCM, CUF, NCCR, Taasisi za dini, NGOs, vyama vya hiari etc. Lakini KURA YA WAZI inaungwa mkono na kundi moja tu, CCM. We unadhani CCM na kura yao ya wazi watashinda, wakati wameanza kugeukana? Na ni kwa nini CCM peke yao ndo wanataka kura ya wazi? By Mtatiro
Source:Julius S. Mtatiro Facebook Wall