Bunge la katiba: Kura ya uwazi (ccm) au siri (taasisi nyingine)

Bunge la katiba: Kura ya uwazi (ccm) au siri (taasisi nyingine)

KURA IWE YA UWAZI AU SIRI


  • Total voters
    41
  • Poll closed .
Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?

Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.

Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.

HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.

Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?

Kumbe una akili timamu Chris kwa Mara ya kwanza umeongea ukweli,receive my 100 likes.
 
Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?

Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.

Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.

HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.

Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?

nimejikaza sana kumpa big up lukosi lla nimeshindwa,ni wewe kweli au naota?rudi cdm ndugu utasamehewa tu zambi szako.
 
Good input Mr. Lukosi.

sometimes dude UNA AKILI!hakika ule ushauri wa Dr.PAULINE umefanya kazi........kwikwikwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!

Kwa mara ya kwanza Lukosi anatoa point. Mpigieni makofi

Kwa mara ya kwanza tangu nijiunge ndani ya JF, Chris Lukosi ameongea senses.

Siamini macho yangu, ngoja nipanguse ukungu. Umezaliwa upya!!! Amen Amen. Haleluya.

Naona Mr. Lukosi amekua quoted kwa kuchangia something sensible. Hahahahahaaa......

Namshukuru LUKOSI kwa leo. Huu ushauri ukasomwe kwenye hilo bunge.

Makofi kwako Lukosi kwakutoa point leo

Kumbe una akili timamu Chris kwa Mara ya kwanza umeongea ukweli,receive my 100 likes.

Duhh Chris Lukosi leo umewashangaza wengi!Hongera sana kwa kujitambua!
 
Last edited by a moderator:
Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?

Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.

Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.

HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.

Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?

Umeongea vema Chris Lukosi, nachoona hapo ni watu hawajajitambua. Pamoja na kukumbushwa madhara ya uwazi toka kwa mzee Cheyo na Prof. Lipumba hawajaelewa. hili la kura ya wazi likipita tutegemee katiba mbovu ambayo haina uhalisia kwa wananchi ila ya kufurahisha watawala. Wanasiasa wameliteka bunge hili tegemewa.
 
Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?

Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.

Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.

HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.

Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?

tangu jana mzee unanifurahisha sana penye tatizo unapaona na kusema ukweli wako sijawahi kutegemea kuona maandiko kama haya kutoka kwako !!!!!!
 
Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?

Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.

Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.

HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.

Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?

Kwa mara ya kwanza toka umehamia magamba leo umeongea kama mwenye akili timamu,hongera'
 
Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?

Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.

Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.

HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.

Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?

lukosi wewe unaitaji kura ya siri ili iweje? Mbona kenya walipiga ya wazi? Acha kuwaza kwa kutumia ubongo wa sokwe
 
Kuna haja ya kuwa na kanuni kwamba ili jambo au hoja ipite ni lazima ikubaliwe na angalau 50% ya kila kundi. Si makundi yanayotuwakilisha Bungeni yanajulikana? Basi hiyo kanuni itungwe fasta na itakuwa imekata ngebe za CCM kutegemea wingi wao kama turufu ya kuburuza wengine.

Nakuunga mkono 100%.
 
Big up Lukosi......naona umewashangaza wengi....hata neno la Rambi Rambi limesahaulika. Ingekuwa JF inafuatiliwa na wabunge nadhani wote wenye msimamo wa kura za wazi wangebadili msimamo wao mara moja.....maana ni 94%(SIRI) na 6%(WAZI) mpaka sasa......
 
Back
Top Bottom