Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?
Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.
Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.
HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.
Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?
Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?
Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.
Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.
HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.
Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?
Good input Mr. Lukosi.
sometimes dude UNA AKILI!hakika ule ushauri wa Dr.PAULINE umefanya kazi........kwikwikwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Kwa mara ya kwanza Lukosi anatoa point. Mpigieni makofi
Kwa mara ya kwanza tangu nijiunge ndani ya JF, Chris Lukosi ameongea senses.
Siamini macho yangu, ngoja nipanguse ukungu. Umezaliwa upya!!! Amen Amen. Haleluya.
Naona Mr. Lukosi amekua quoted kwa kuchangia something sensible. Hahahahahaaa......
Namshukuru LUKOSI kwa leo. Huu ushauri ukasomwe kwenye hilo bunge.
Makofi kwako Lukosi kwakutoa point leo
Kumbe una akili timamu Chris kwa Mara ya kwanza umeongea ukweli,receive my 100 likes.
Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?
Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.
Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.
HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.
Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?
Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?
Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.
Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.
HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.
Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?
Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?
Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.
Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.
HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.
Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?
Utapigaje kura halafu iwe ya wazi?
Ni wachache sana wanaoweza kumpinga kiongozi wao hadharani.
Mimi najua tuko wana CCM wengi tusiopenda muungano lakini ni wachache wanaoweza sema hadharani kama mimi kuwa hatuutaki kwa kuogopa kuonekana wako tofauti na uongozi.
HILI BUNGE LIKO KWA FAIDA YA WATANZANIA SIO VYAMA.
Na kwa nini unataka ya wazi ? ili ujue nani anakupinga? halafu umfanyeje?
Kuna haja ya kuwa na kanuni kwamba ili jambo au hoja ipite ni lazima ikubaliwe na angalau 50% ya kila kundi. Si makundi yanayotuwakilisha Bungeni yanajulikana? Basi hiyo kanuni itungwe fasta na itakuwa imekata ngebe za CCM kutegemea wingi wao kama turufu ya kuburuza wengine.
Lukosi sasa n mtanzania mzalendoGood input Mr. Lukosi.