Bunge la Katiba: Kutokuonyeshwa kwenye TV Live ni hujuma kwa watanzania

Bunge la Katiba: Kutokuonyeshwa kwenye TV Live ni hujuma kwa watanzania

Hiyo ndiyo serikali yetu ya ccm inafanya inavyotaka, kwani mtaifanya nini? after all kila mwaka na kila uchaguzi mtawachagua sasa inawahusu nini? achana na ccm bwana!
 
Kwa yeyote ambaye yupo karibu na mjumbe wa hili bunge la katiba bila kujali itikadi zetu tuwashinikize ili na wao wapige kelele huko watarusha tu, au tuandamane hadi nje ya bunge kuonesha hisia zetu.
 
Hao viongozi mnaowalalamikia kila siku uwa wanachaguliwa na nani?
 
Ndugu wana Jamvi,

Nimetafakari kwanini Uongozi wa Bunge umeamua kutokuonesha Bunge LIVE sijapata jibu. Katika sheria zetu, ni haki kwa kila mtanzania kupata taarifa, kama hii ya mchakato wa Katiba, Bungeni. Tuishawishi Serikali kupitia Jukwaa hili kuhakikisha Kipndi cha Bunge kinarushwa Live ili tuweze kuona moja kwa moja majadiliano ya wawakilishi wetu Bungeni. Tafakari, paza sauti yako kupitia Jukwaa hili, nafahamu watasikia!

Karibuni

Huu ni Upuuzi Uliopitiliza. Tumejifanya vipofu tumekubali kula nao meza moja sasa wanajaribu kutushika mikono pia. Twendeni wote tuhamie dodoma kama ndio hivi. Bora ijulikane moja kuliko kugeuzwa kama mandondocha na nchi ni yetu. Wasitufanye tukaichukia nchi hii kwa ujinga wa wachache. hii nchi sio ya siasa wala sio ya chama chochote.
TUOMBE MUNGU ATUONGOZE KWA KILA KITU NA LAANA KWA WENYE LENGO BAYA IWAPATE KABLA MAPENZI YAO HAYAJATIMIA.
 
kama katiba ni ya watanzania, kwann wafanye SIRI? hapo kuna uchakachuzi unataka kufanywa.!
 
sikuwa na taarifa kumbe halionyeshwi.....!!
 
Nakwambia CCM wametuona watanzania wajinga sana. Yaaani mtu anaamua tu kutokuonesha mjadala wa Bunge kwa maslahi yake. Yaani mimi sielewi kipimo cha ujasiri wa hawa viongozi kuamua kufanya hivyo. Napatwa na hasira na hii nchi isiyojali watu wake.
 
Ndugu wana Jamvi,

Nimetafakari kwanini Uongozi wa Bunge umeamua kutokuonesha Bunge LIVE
sijapata jibu. Katika sheria zetu, ni haki kwa kila mtanzania kupata
taarifa, kama hii ya mchakato wa Katiba, Bungeni. Tuishawishi Serikali
kupitia Jukwaa hili kuhakikisha Kipndi cha Bunge kinarushwa Live ili
tuweze kuona moja kwa moja majadiliano ya wawakilishi wetu Bungeni.
Tafakari, paza sauti yako kupitia Jukwaa hili, nafahamu watasikia!

Karibuni

katiba ni ya wananchi wote,wao wapo pale ni wawakilishi na wasihalalishe uwepo wao kama ni watanzania pekee, kikwel tunahitaj sana kuona bunge live
 
.bora wasioneshe kabisa manake kuna madudu mengi mle ndani, lengo ni kuficha aibu ili ibaki ndani ya mipaka yetu si wajua tena Afrika mashariki na kati watumiaji wa Kiswahili ni wengi labda Bunge lingeendeshwa kisukuma mbona kuwa LIVE isingekuwa tatizo, lakini ni kweli mkuu Acuity hapa tunadhulumiwa haki yetu ya kupata habari hasa kwa jambo linalogusa maisha ya kila mtu kama hili..
 
bunge bado halijazinduliwa mpaka tarehe26 rais kikwete atalizindua kuanzi hapo litakuwa live
 
wanafanya mambo ya kijinga kabisa kutwa wanataka kuongezewa posho kwa mjadara wa kizani hawajui kama wananchi watapata kuvifahaam vipengere vyote vya katiba kwa kuangari mjadala,
 
ccm wameshaona nakuwafanya watanganyika wapumbavu! dawa yao katiba yauccm ccm ikipitishwa tuikatae kwenye kurayamaoni.
 
Kenya watu walivamia bunge wakiwa wamembeba nguruwe la sisi hapa tunachekacheka

Twendeni sote tuhamie getini pale bungeni tuone kama watatuua,haya mambo ya kuongeongea tu wala hayatusaidii alafu nashangaa kwanini wanaharakati wasituongoze tukapige kambi pale bungeni,na wao wapo tu wanachekacheka ...watanzania tumekuwa waoga mpaka Mungu ipo siku atatulaani
 
mim nadhani bado wanaandaa kanuni na sheria za kuendesha bungem halafu wakimaliza wataanza kurusha, ktk dunia hii mim bado siamin kama kweli hawatarusha live
 
Ni Moja ya nchi za kipumbavu Kuwahi kutokea..

Wanajua Fika hakuna anayeweza kuhoji..

Ni haki yetu lazima tuone nini wanajadili..

CCM inaongoza nchi kipumbavu sana..Ni wajinga wajinga ndio wanaweza kushabikia Upumbavu wao..

Na ole wao watuletee katiba isiyo na maslahi na Taifa...Manina zao..








Well said prs, na wengi wajinga watakusema na kukupasha wakati unasema kweli. Tanzania ni moja ya jamii ya kijinga sana siku hizi eti unakuta Mwigulu anashangiliwa kwa kuongelea milioni tatu za demu wa Mbowe halafu wanasahau bilioni 300 zilizofichwa Uswiss na wala hawataki kuziongelea, very foolish country
 
  • Thanks
Reactions: prs
Kutoonyesha bunge la katiba ni ukiukwaji wa katiba iliyopo ya nchi hii, ni vema basi serekali ikafahamu kuwa kuwanyima raia haki halali ya habari pia ni ukiukwaji wa haki za binadamu, maana yake ni sawa na mtu aliyeko mahabusu hawezi kujua yaliyo nje.Ccm siku zenu zinahesabika 2015 si mbali.
 
Back
Top Bottom