Bunge la katiba mpya

Bunge la katiba mpya

Mahamud_2000

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2014
Posts
200
Reaction score
99
Hatimae lile dukuduku ambalo wengi walikua nalo kuhusu ni lini na akina nani watatuwakilisha watanzania mjengoni kujadili rasimu ya pili ya mabadiliko ya katiba limepatiwa majibu.Majina na tarehe vyote viko hadharini.Tunawaombea wote mlioteuliwa mungu awape nguvu hekima na busara katika uwakilishi wenu hatimae mtupatie katiba ambayo watanzania wanaitaka.
Kila la heri.
 
Back
Top Bottom