Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Yaani baada ya mihangaiko ya siku nzima huwa nalingojea bunge la katiba kwa hamu kweli ...niweze kucheka na kutulizabakili ..
Kuliko niangalie comedy like futuhi na wakina Joti ni bora nifurahi kwa kuangalia Bunge la katiba ..kwani ni zaidi ya ze comedy . ..
Big Up Wajumbe ... kwa kazi iliyowapeleka.. naona ndicho mlichotumwa kuwakilisha . kwnye katiba . .. aaaahsaaaanteeee. ..
Kuliko niangalie comedy like futuhi na wakina Joti ni bora nifurahi kwa kuangalia Bunge la katiba ..kwani ni zaidi ya ze comedy . ..
Big Up Wajumbe ... kwa kazi iliyowapeleka.. naona ndicho mlichotumwa kuwakilisha . kwnye katiba . .. aaaahsaaaanteeee. ..