tulia basi uandike kitu kizuri, heading yako na ulichoandika haviendani
Net ilikatika Mb zilikwisha nikawahi kupost ,ila habari za kuaminika waandishi wametimuliwa ndani ya ukumbi na haijulikani kama wataruhusiwa kuingia au kukaribia sehemu za ukumbi au watarudi tena.
Aliyewatimua nani, Pandu Omar Ramadhan Kificho?Net ilikatika Mb zilikwisha nikawahi kupost ,ila habari za kuaminika waandishi wametimuliwa ndani ya ukumbi na haijulikani kama wataruhusiwa kuingia au kukaribia sehemu za ukumbi au watarudi tena.
Net ilikatika Mb zilikwisha nikawahi kupost ,ila habari za kuaminika waandishi wametimuliwa ndani ya ukumbi na haijulikani kama wataruhusiwa kuingia au kukaribia sehemu za ukumbi au watarudi tena.