Bunge la Katiba: Waandishi watimuliwa nje ya Ukumbi

Bunge la Katiba: Waandishi watimuliwa nje ya Ukumbi

tunaposema kuwa CCM ni wezi wa kura wengi hapa huwa awaamini hata kidogo,bunge waheshimiwa kura zinazidije?hapo ndipo mimi sielewi kabisa.
hii inaonyesha kuwa huku mashinani ndio huwa vinara wa kuchakachua matokeo

Je na wewe akili yako imeibiwa na CCM? Maana hapa hakuna anaejadili nani kamuibia nani? Kama wenyewe mnasema Bunge limehodhiwa na CCM kwa 70% na Mh. Kificho alipata 69.9% huo wizi umefanyikaje? Mbona nyie hamkutangaza kuweka Mgombea iweje muibiwe kura? au mliweka mgombea kwa Mlango wa Nyuma?
 
Kwa mujibu wa EATV hot mix jioni hii ni kuwa waandishi wote wametimuliwa bungeni,na hiyo ni baada ya kugawa rasimu ya kanunu ambazo hazikutosha hata nusu ya wabunge wa bunge la katiba. Hivi ni kweli serikali hii ya ccm ina nia ya kuleta katibatmpya?

Nia wanayo viongozi wa chadema tu na walituhirishia hili kuwa ndani ya siku mia moja tu, tutakuwa na katiba ambayo ingeandaliwa na viongozi wetu mahiri kwa kushirikiana na wake pamoja na vimada wao
 
Na kama wapo waandishi ambao walikubali kutolewa nje ya Bunge la Katiba wanatakiwa watupe na kadi zao za uandishi!
 
Back
Top Bottom