BUNGE LA KATIBA: Yanayojiri leo tarehe 27/02/2014

jogi

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2010
Posts
25,556
Reaction score
25,342
kwa kuwa watanzania tumekuwa tukiishi kwa amani na upendo, jambo ambalo limekoleza thamani ya udugu wetu, umefika wakati tuionyeshe dunia kuwa hatuogopani wala kutishana tunapotakiwa kupiga kura kuamua mustakabali wa jambo letu kubwa na nyeti kabisa.

kama bunge la katiba linakusudia kutumia mfumo huu wa kupiga kura ya wazi, kwa nini wananchi nasi tusipewe fursa kama hii kwa jambo hilihili la katiba.

pinga kwa hoja, unga mkono kwa hoja pia.
 
Mh. Kificho amemwita Mchungaji Mtikila sasa hivi achangie.


Ameanza kwa kupiga mkwara kuwa huenda Bunge likakosa uhalali siku za usoni , na ametoa chapisho lake ambalo atalisambaza leo


Anamwambia mwenyekiti wa kikao kuwa wamemchagua kwa kura ya siri na hiyo ndio democratic civility, na anasema kuwa kuhusu suala la ujasiri yeye hajaona mtu jasiri kwenye nchi hii kama yeye so anataka kura ya siri.



Mtikila anatiririka,anasema bunge la katiba limetekwa na chama kimoja,jambo ambalo ni hatari sana!anasema kura ya siri si suala la kujadili..lipo ndani ya katiba,kulinda uhuru wa mtu..
 
kosa please............hebu report vizuri basi
 
Mtikila ,anayumbishwa ili apoteze muelekeo wake wa kuchangia kwani anakatizwa na kichwa cha siwa
 
hizo dakika tano bafo tuuuu!!!!!
 
Ameanza kwa kupiga mkwara kuwa huenda Bunge likakosa uhalali siku za usoni , na ametoa chapisho lake ambalo atalisambaza leo
 
Mtikila ,anayumbishwa ili apoteze muelekeo wake wa kuchangia kwani anakatizwa na kichwa cha siwa

kasema nini, kayumbishwa wapi! fafanua watu wa matombo wakuelewe. mnafikiri wote tuna tiivii
 
Anamwambia mwenyekiti wa kikao kuwa wamemchagua kwa kura ya siri na hiyo ndio democratic civility, na anasema kuwa kuhusu suala la ujasiri yeye hajaona mtu jasiri kwenye nchi hii kama yeye so anataka kura ya siri.
 
Mtikila anatiririka,anasema bunge la katiba limetekwa na chama kimoja,jambo ambalo ni hatari sana!anasema kura ya siri si suala la kujadili..lipo ndani ya katiba,kulinda uhuru wa mtu..
 
Mzee Ndesa Pesa anaunguruma sasa..
 
Ndesamburo, kura iwe ya siri na ni haki ya kila mtu na ilindwe , sio jambo la kufanyiwa ushabiki wa vyama ....
 
Mtikila nimchungaji aliyechanganyikiwa yeyote anayemsikiliza inawezekana naye amechanganyikiwa kama yeye
 
Hivi hawa wabunge wa ccm wanaopiga vigelegele ndani ya bunge ni ushamba au ndo ushabiki wenyewe?shame on them!
 
..... katika kutetea misingi ya nchi tuwe tayari kufa au kumwondoa yeyote mwenye kutuyumbisha....tusikubali kuyumbishwa kamwe...WAZALENDO KAMA KUNA UCCM HAPO RUDINI ILI TUDA KATIBA NKW NJIA WATAKAO IELEWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…