Mtikila nimchungaji aliyechanganyikiwa yeyote anayemsikiliza inawezekana naye amechanganyikiwa kama yeye
Ha ha ha ha ha ... thank you!huyu kapuya akiacha vitoto vidogo anakuwa ana akili sana
Excellent Esther Bulaya....free Lady within my Party. Stay blessed
Anne Kilango baada ya Ester Bulaya na Prof.Kapuya kuuunga mkono hoja ya kura za siri Anne yeye ameshindwa kuweka msimamo wake wazi na kuishia kutaka uamuzi wa kura uamua juu ya jambo hilo, sasa kujichanganya kwake ni hapa , kuwa kama kura hiyo itapigwa kwa usiri kuna haja gani ya kuamua tena wakati tayari kura ni ya siri ?
Na kama ikiamuliwa kuwa kura ya kuamua iwe wazi kuna haja gani ya kupoteza muda wa kutafuta majibu ambayo Bunge linayo?
Hali yake ya kujichagaya nikutokana na kukosa msimamo wake kama Mbunge juu ya jambo hili , kwa kiongozi hili ni jambo baya sana kwani hana jabo ambalo analisimamia.