Bunge la katiba

Bunge la katiba

karekwachuza

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2013
Posts
999
Reaction score
335
jamani bunge hili ni la wananchi wote bila kujali dini,kabila,itikadi za kisiasa,rangi,umri,Rangi n.k iweje mtu akurupuke na usema sisi kama ccm tunahitaji serikali mbili,je huyu mtu analitakia mema Taifa hili.naomba mongozo waheshimiwa
 
Back
Top Bottom