asante kwa taarifa。Yaani ulisikiliza Maria space ndiyo utajua kuna watanzania wengi tu wenye akili na hoja. Watanzania wanajadili mambo ya msingi kuliko bunge ambalo ni bunge la uchawa na kusifia tu. Hakuna mjadala wa maana kwa sasa. Kama unataka kujidunza na kuelewa Tanzania ni hapa Jamii na Maria Space.
Je kuna mtu ana mawazo tofauti?
Nipe tofauti ya wabunge wenye elimu ya juu na hawa under Standard 7Tangu nilivyojua ili uwe mbunge ni lazima ujue kusoma na kuandika, niliacha kufatilia bunge lenyewe.
Na hilo unauliza kweli au una-buy buy time tu?Nipe tofauti ya wabunge wenye elimu ya juu na hawa under Standard 7
HahahaYaani ulisikiliza Maria space ndiyo utajua kuna watanzania wengi tu wenye akili na hoja. Watanzania wanajadili mambo ya msingi kuliko bunge ambalo ni bunge la uchawa na kusifia tu. Hakuna mjadala wa maana kwa sasa. Kama unataka kujidunza na kuelewa Tanzania ni hapa Jamii na Maria Space.
Je kuna mtu ana mawazo tofauti?
DuuhTangu nilivyojua ili uwe mbunge ni lazima ujue kusoma na kuandika, niliacha kufatilia bunge lenyewe.
Nchi nzima.Swali lingine.Bunge la Maria limechaguliwa na nani?
WatzBunge la Maria limechaguliwa na nani?
namna ya kujiunga na ilo bunge plsYaani ulisikiliza Maria space ndiyo utajua kuna watanzania wengi tu wenye akili na hoja. Watanzania wanajadili mambo ya msingi kuliko bunge ambalo ni bunge la uchawa na kusifia tu. Hakuna mjadala wa maana kwa sasa. Kama unataka kujidunza na kuelewa Tanzania ni hapa Jamii na Maria Space.
Je kuna mtu ana mawazo tofauti?
Seriously nimeulizaNa hilo unauliza kweli au una-buy buy time tu?
ChoiceVariableMfumo wa uwakilishi kupitia bunge ni lazima ubadilike. Zama zimebadilika. Sasa technolojia inawezesha watu kuongea na kukubaliana bila kukusanyika dodoma. Watu wanaweza kutoa maoni kuhusu sheria bila kulazimika kukutana. Je tuendelee na huu mfumo wa sasa uliojaa ubwanyenye na uchawa?
Bunge la Maria limechaguliwa na nani?