Bunge la Maria Space ni bora kuliko la Tulia- Tanzania

Bunge la Maria Space ni bora kuliko la Tulia- Tanzania

Yaani ulisikiliza Maria space ndiyo utajua kuna watanzania wengi tu wenye akili na hoja. Watanzania wanajadili mambo ya msingi kuliko bunge ambalo ni bunge la uchawa na kusifia tu. Hakuna mjadala wa maana kwa sasa. Kama unataka kujifunza na kuelewa Tanzania ni hapa Jamii na Maria Space.

Je kuna mtu ana mawazo tofauti?
Hilo Bunge la Maria limewasaidiaje Watanzania hadi sasa? Maana kuna aina mbili za kuongea;
a) Talk the talk
b) Walk the talk
Maria Space inafanya lipi kati ya hilo?
 
Hilo Bunge la Maria limewasaidiaje Watanzania hadi sasa? Maana kuna aina mbili za kuongea;
a) Talk the talk
b) Walk the talk
Maria Space inafanya lipi kati ya hilo?

Maria space limesaidia kutoa elimu kwa jamii ya Tanzania . Nchi hii ambayo ni masikini sana kutokana na sheria mbovu na rushwa kubwa serikalini ina tatizo kubwa la mfumo. Maria Space linapigania jitihada za kuikomboa Tanzania kwa kuwa na katiba mpya. Kitu cha kushangaza salama utaifa na machawa walienda mpaka Kenya kwa kutaka kumteka huyu Mdada sasa kama hana kitu cha maana kwanini wanataka kumteka. Dr Slaa anashikiliwa kwasababu alikuwa anasema mambo ambayo serikali haikupenda Maria Space. Unatakiwa uende na kusikiza hoja kwanini Tanzania ni masikini mpaka leo. Tukiendelea na uchawa, kusifia sifia, ufisadi wa hali hii na wizi wa kura kama nchi hatutafika na hii nchi itakuwa ya kisultani. Bunge lililopo Dodoma ambalo wabunge wamepatikana kwa wizi wa kura kwa kusaidiwa na Polisi na Usalama hakuna mtu mwenye akizi zake anafikiri litatusaidia kama nchi. Vuguvugu la katiba tumshukuru sana Maria space. Lissu kuwa mwenyekiti wa Chadema tumshukuru sana Maria Space.

Kama mnaona hafanyi kitu endeleeni na machawa Dodoma lakini Watanzania wengi wasomi wanajua kinachoendelea inawezekana kabisa kwa upeo wako unafikiria kula na kunya tu sisi tunafikira Tanzania sio mtu.Tatizo kubwa ni katiba na tutaanza na mijadala ya kisomi Maria Space
 
Kwa bunge la sasa ni akishaongea Mpina huna sababu ya kutobadiri channel!
Prof Muhongo ni anajua na hoja zake ni nyeti mana anakuja na takwimu lakin hazipati muendelezo akishawakilisha kwa sababu ana hoja zinazozid uwezo wa Watanzania walio wengi.
Kwa bahati mbaya wasomi ambao wangeendeleza hoja zake {kama Kabudi na Kitila} ndo hivyo tena wameshamezwa UCHAWA!
 
Maria space limesaidia kutoa elimu kwa jamii ya Tanzania . Nchi hii ambayo ni masikini sana kutokana na sheria mbovu na rushwa kubwa serikalini ina tatizo kubwa la mfumo. Maria Space linapigania jitihada za kuikomboa Tanzania kwa kuwa na katiba mpya. Kitu cha kushangaza salama utaifa na machawa walienda mpaka Kenya kwa kutaka kumteka huyu Mdada sasa kama hana kitu cha maana kwanini wanataka kumteka. Dr Slaa anashikiliwa kwasababu alikuwa anasema mambo ambayo serikali haikupenda Maria Space. Unatakiwa uende na kusikiza hoja kwanini Tanzania ni masikini mpaka leo. Tukiendelea na uchawa, kusifia sifia, ufisadi wa hali hii na wizi wa kura kama nchi hatutafika na hii nchi itakuwa ya kisultani. Bunge lililopo Dodoma ambalo wabunge wamepatikana kwa wizi wa kura kwa kusaidiwa na Polisi na Usalama hakuna mtu mwenye akizi zake anafikiri litatusaidia kama nchi. Vuguvugu la katiba tumshukuru sana Maria space. Lissu kuwa mwenyekiti wa Chadema tumshukuru sana Maria Space.

Kama mnaona hafanyi kitu endeleeni na machawa Dodoma lakini Watanzania wengi wasomi wanajua kinachoendelea inawezekana kabisa kwa upeo wako unafikiria kula na kunya tu sisi tunafikira Tanzania sio mtu.Tatizo kubwa ni katiba na tutaanza na mijadala ya kisomi Maria Space
Je, unajua Tanzania ni nchi ya kumi tajiri Afrika?
 
Je, unajua Tanzania ni nchi ya kumi tajiri Afrika?

Tanzania ni nchi masikini tusijidanganya yaani mtu mmoja kwa wastani anaingiza $1,000 tu unasema huo ni utajiri. Kuna nchi zina watu zaidi ya 300M na wastani kwa kila mtu ni $80,000 !!! tuache ujinga. Hatuwezi kununua hata dawa zetu tunategemea USAID. Kama nyie vijana mngefanya kazi ya kuweka sheria bora kwa kwatiba mpya na kuacha uchawa na kujidanganya tunge sogea mbele
 
Tanzania ni nchi masikini tusijidanganya yaani mtu mmoja kwa wastani anaingiza $1,000 tu unasema huo ni utajiri. Kuna nchi zina watu zaidi ya 300M na wastani kwa kila mtu ni $80,000 !!! tuache ujinga. Hatuwezi kununua hata dawa zetu tunategemea USAID. Kama nyie vijana mngefanya kazi ya kuweka sheria bora kwa kwatiba mpya na kuacha uchawa na kujidanganya tunge sogea mbele
Acha kubwabwa. Jibu swali kwanza uliloulizwa. Kama huna akili ya kujibu swali uliloulizwa, basi tumalize mjadala amicably.
 
Acha kubwabwa. Jibu swali kwanza uliloulizwa. Kama huna akili ya kujibu swali uliloulizwa, basi tumalize mjadala amicably.

we ni mjinga mjinga nimeshasema Tanzania sio nchi tajiri ni nchi maskini. Hivyo swali lako sio la msingi maana halina uhalisia au ukweli ndani yake. Huwezi kuuliza Tanzania nchi ya ngapi kwa utajiri wakati ni nchi masikini!!! swali gani hilo

Tanzania ni nchi ya 31 kwa umasikini Duniani!!
 
we ni mjinga mjinga nimeshasema Tanzania sio nchi tajiri ni nchi maskini. Hivyo swali lako sio la msingi maana halina uhalisia au ukweli ndani yake. Huwezi kuuliza Tanzania nchi ya ngapi kwa utajiri wakati ni nchi masikini!!! swali gani hilo
Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom