Bunge la Ndugai tutalikumbuka kwa kusimamia nidhamu kwa watu wote bila kujali vyeo!

Bunge la Ndugai tutalikumbuka kwa kusimamia nidhamu kwa watu wote bila kujali vyeo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kama utaniuliza bunge la Ndugai linaloelekea ukingoni nitalikumbuka kwa jambo gani basi nitakuambia lilijenga nidhamu miongoni mwao na wananchi kwa ujumla.

Wabunge walioadhibiwa ni pamoja na Nassari, Godbless Lema na Makamu wa Rais bunge la Afrika mh Maselle.

Viongozi waliohojiwa ni pamoja na RC Makonda na CAG Assad

Mwananchi aliyenidhamishwa ni Pascal Mayalla

Hakika hili lilikuwa bunge la nidhamu

Nawatakia Dominica yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
 
Kama utaniuliza bunge la Ndugai linaloelekea ukingoni nitalikumbuka kwa jambo gani basi nitakuambia lilijenga nidhamu miongoni mwao na wananchi kwa ujumla.

Wabunge walioadhibiwa ni pamoja na Nassari, Godbless Lema na Makamu wa Rais bunge la Afrika mh Maselle.

Viongozi waliohojiwa ni pamoja na RC Makonda na CAG Assad

Mwananchi aliyenidhamishwa ni Pascal Mayalla

Hakika hili lilikuwa bunge la nidhamu

Nawatakia Dominica yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
WEwe jamaa ukishakunywa wanzuki au boha unajisahau sana unabwatuka tu bila break
 
Kama utaniuliza bunge la Ndugai linaloelekea ukingoni nitalikumbuka kwa jambo gani basi nitakuambia lilijenga nidhamu miongoni mwao na wananchi kwa ujumla.

Wabunge walioadhibiwa ni pamoja na Nassari, Godbless Lema na Makamu wa Rais bunge la Afrika mh Maselle.

Viongozi waliohojiwa ni pamoja na RC Makonda na CAG Assad

Mwananchi aliyenidhamishwa ni Pascal Mayalla

Hakika hili lilikuwa bunge la nidhamu

Nawatakia Dominica yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
Bunge la ndugai?
 
Bunge la kipumbavu tangia tz ipate uhuru ni la ndungai mleta mada acha kujikomba!
 
Kama utaniuliza bunge la Ndugai linaloelekea ukingoni nitalikumbuka kwa jambo gani basi nitakuambia lilijenga nidhamu miongoni mwao na wananchi kwa ujumla.

Wabunge walioadhibiwa ni pamoja na Nassari, Godbless Lema na Makamu wa Rais bunge la Afrika mh Maselle.

Viongozi waliohojiwa ni pamoja na RC Makonda na CAG Assad

Mwananchi aliyenidhamishwa ni Pascal Mayalla

Hakika hili lilikuwa bunge la nidhamu

Nawatakia Dominica yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
UKIMPAMBA SHETANI ATABAKI KUWA SHETANI TU KATIKA HISTORIA YA NCHI HII!
 
Kama utaniuliza bunge la Ndugai linaloelekea ukingoni nitalikumbuka kwa jambo gani basi nitakuambia lilijenga nidhamu miongoni mwao na wananchi kwa ujumla.

Wabunge walioadhibiwa ni pamoja na Nassari, Godbless Lema na Makamu wa Rais bunge la Afrika mh Maselle.

Viongozi waliohojiwa ni pamoja na RC Makonda na CAG Assad

Mwananchi aliyenidhamishwa ni Pascal Mayalla

Hakika hili lilikuwa bunge la nidhamu

Nawatakia Dominica yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
Kinyesi ni kinyesi tu hata ukipulizie manukato gani.
 
Sasa sheria ya kuwalinda spika na naibu spika wanapitisha ya nini .Wakwende huko wamevunja katiba na kupitisha vitu wanavyotaka wao kwa hati ya dharura.
 
Back
Top Bottom