Bunge la Tanzania balaa, kuna wakati hushambuliana kwa misingi ya kikabila na kiasili, mara rudi kwenu Oman, rudi kwenu Congo

Bunge la Tanzania balaa, kuna wakati hushambuliana kwa misingi ya kikabila na kiasili, mara rudi kwenu Oman, rudi kwenu Congo

Wenzetu hawa wanavyopenda kuchachamaa kuhusu ukabila kwetu utadhani kwao ni binguni hamna aina yoyote ya ubaguzi, ilhali mitandao ya kijamii huanika uozo wao haswa kwenye bunge ambapo mizuka ya wabunge husababisha wanaanza kushambuliana kwa misingi ya kikabila, kikanda na asili ya mtu, mara rudi kwenu Yemen, mara huyo ni Mkongoman arudi kwao Congo.

Mitandao ya kijamii imesababisha wanafiki wengi dunia hii kuanikwa mchana peupe, unachobwatuka kinasambazwa dunia yote wanakuona, uchafu wote na viraka na jinsi ulivyo.

Kwetu huwa tunakiri tatizo lipo, lakini hutaona tukielekeza vidole vya lawama kwa majirani kiunafiki, tunapambana nalo ndani kwa ndani.



Huyo mkongomani amejidhalilisha sana kaongea kibaguzi 🤣🤣🤣

Na huyo Myemeni nae angetulia tu..
 
Nyie mnao ukabila wa namna nyingi tu, sema ni vile mpo vizuri kwenye kuficha. Uchama kwenu ni balaa belua.
Jamaa hapa anapokea matofali kisa kavaa mavazi msiyoyapenda.

2294925_2294894_tapatalk_1578598866010.jpeg
Sasa uchama ndio ukabila? 😀 umechanganyikiwa wewe.
 
Unaelewa maana ya Ukabila? Sasa uchama na Ukabila vina uhusiano gani? Au unafanya makusudi kujaribu kukimbia kivuli chako kinachokuandama kila mahali? Mimi maisha yangu yote sijawahi kushuhudia Ukabila dhidi yangu nchini Tanzania popote pale nilipoishi.

Mbadilike, acheni unafiki.
 
Hatuwezi tukafanana maana sisi ni wawazi ila nyie mumekua mabingwa wa kuficha maradhi na uozo kama Korea Kaskazini, janga la Corona limedhihirisha jinsi mlivyo, mnaweza kufanya chochote hata kuacha watu wajifie ilmradi tu msitajwe mna maradhi.

Corona ndio imewaumbua vizuri kwa kuwababaikia mabeberu na bado unawapukutisha kama utitiri huku sisi tukifuata tiba zetu za asili tulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu na nyie mkizidharau,mnasubiri hadi waume zenu mabeberu wawaletee kinga huku mkiputika
 
Corona ndio imewaumbua vizuri kwa kuwababaikia mabeberu na bado unawapukutisha kama utitiri huku sisi tukifuata tiba zetu za asili tulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu na nyie mkizidharau,mnasubiri hadi waume zenu mabeberu wawaletee kinga huku mkiputika

Kwanza kwa corona hata ndio usiseme maana mpo useless kabisa full kujichokea kisa umaskini, yaani nyie na roho zenu za kishetani ndio maana mtateseka sana kwa umaskini miaka yote hii, ujamaa uliwalemaza hata uwezo wa kutumia akili.
 
tz ni kisiwa cha ukabila...wanaishi kinafkinafki sana!
 
Kwanza kwa corona hata ndio usiseme maana mpo useless kabisa full kujichokea kisa umaskini, yaani nyie na roho zenu za kishetani ndio maana mtateseka sana kwa umaskini miaka yote hii, ujamaa uliwalemaza hata uwezo wa kutumia akili.

Pole sana kwa njaa kula bongo zenu aisee,sisi corona haina lolote kwetu jirani,maisha ni mazuri tu yanaendelea vizuri tu kama kawaida,nyie endeleeni kijifungia na kwa sasa umeshagonga ikulu kwenu,nawaombea mpone mje kuishi kama sisi huku
 
Unaelewa maana ya Ukabila? Sasa uchama na Ukabila vina uhusiano gani? Au unafanya makusudi kujaribu kukimbia kivuli chako kinachokuandama kila mahali? Mimi maisha yangu yote sijawahi kushuhudia Ukabila dhidi yangu nchini Tanzania popote pale nilipoishi.
Acha uongo wewe Tanzania ukabila upo. Sema Tanzania tuna unafiki
 
Acha uongo wewe Tanzania ukabila upo. Sema Tanzania tuna unafiki


Siwezi kukubishia kwa maana sikujui na wala sijui maisha ulioishi, lkn mimi Maisha yangu yote sijawahi kushuhudia huo unaoita ukabila Tanzania, nimeishi sehemu mbalimbali sijawahi kusemwa, kusimangwa au kufukuzwa kwa sababu tu sio mwenyeji wa hilo eneo, hivyo maadamu wewe yameshakukuta na unasema kuna Ukabila Tanzania unaweza kuweka mifano hai hapa ya jinsi ulivyobaguliwaTanzania kama ukipenda, ...
 
Nyie mnao ukabila wa namna nyingi tu, sema ni vile mpo vizuri kwenye kuficha. Uchama kwenu ni balaa belua.
Jamaa hapa anapokea matofali kisa kavaa mavazi msiyoyapenda.

2294925_2294894_tapatalk_1578598866010.jpeg

Kweli ubongo umechoka sana,sasa hapa kuna uhusiano gani na ukabila unaoungelea?

Acheni kulazimisha vitu ambavyo havipo,sijawahi kuona Mtanzania yeyote anakatazwa kuishi popote pasipo asili yake na wenye asili ya hapo,ila huko kwenu ni jambo la kawaida sana.
 
Hakuna kitu kama Kabila la Wachaga Dunia hii, Wachaga siyo Kabila, hivyo sioni huo unaouita ukabila unaingiaje hapo, ...

Chuki yako dhidi yao huendeshwa na nini haswa.
 
Back
Top Bottom