Bunge la Tanzania: Wadau leteni maoni juu ya Sheria mbalimbali zilizopangwa kubadilishwa

Bunge la Tanzania: Wadau leteni maoni juu ya Sheria mbalimbali zilizopangwa kubadilishwa

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
1684927544392.png
 
ndo ufanye mpango uende mkuu
Hili bunge halina uhalali wowote wa kutunga sheria kutokana na jinsi lilivyo patikana. Wenye imani nalo wanaweza kwenda, au kutoa kwa njia mbalimbali zitakazowekwa. Ni kupotezeana muda tu, wakati watu hutoa mapendekezo sahihi lakini yanawekwa pembeni kwa sababu za kisiasa.
 
Back
Top Bottom