Hili bunge halina uhalali wowote wa kutunga sheria kutokana na jinsi lilivyo patikana. Wenye imani nalo wanaweza kwenda, au kutoa kwa njia mbalimbali zitakazowekwa. Ni kupotezeana muda tu, wakati watu hutoa mapendekezo sahihi lakini yanawekwa pembeni kwa sababu za kisiasa.