britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Mkuu usishupaze shingo lolote linaweza kutokeaheheheheh hawawezi hawatoweza.....hawana hiyoo nguvu,nchi huru kama uganda haiingiliwi kizembe hivyoo...
Utasubiri sana wewe mtumwa wa wazungu!!Na huyu wa kwetu vipi?
Halafu eti M7 ni role modal wa mtu.
Wala hili si bunge la waingereza mkuu!!Wabunge wa Bunge la uingereza katika mijadala mkali wa kumuondoa Mseven,
Mwasiasa mwingine anayeitwa zhake amepelekwa India Leo baada ya kufanyiwa unyama n.a. sserikal ya Mseven,
Tukio lililopekelea dunia nzima kujua ni kuhusu Robert Kyagulanyi sentamu,
Video
Imekuuma mkuu?Utasubiri sana wewe mtumwa wa wazungu!!
Mungu wabariki wazungu .Wabunge wa Bunge la uingereza katika mijadala mkali wa kumuondoa Mseven,
Mwasiasa mwingine anayeitwa zhake amepelekwa India Leo baada ya kufanyiwa unyama n.a. sserikal ya Mseven,
Tukio lililopekelea dunia nzima kujua ni kuhusu Robert Kyagulanyi sentamu,
Video
Najua watumwa na wasaliti hawataisha hapa duniani tutaendelea kuwapa vidonge tu mkuuImekuuma mkuu?
AssholeMungu wabariki wazungu .
Aaah..Najua watumwa na wasalitibhawataisha hapa duniani tutaendelea kuwapa vidonge tu mkuu
Wabunge wa Bunge la uingereza katika mijadala mkali wa kumuondoa Mseven,
Mwasiasa mwingine anayeitwa zhake amepelekwa India Leo baada ya kufanyiwa unyama n.a. sserikal ya Mseven,
Tukio lililopekelea dunia nzima kujua ni kuhusu Robert Kyagulanyi sentamu,
Video
Ndugu yangu yaaani isalimike kujadiliwa DRC,Burundi,Zimbabwe,Sudan ambayo Rais wake bado anakesi na anahitajika ICC mpaka leo hajakamatwa ije kuingiliwa Uganda!?Mkuu usishupaze shingo lolote linaweza kutokea