Bunge la wananchi hongera mmetisha!!

Bunge la wananchi hongera mmetisha!!

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Leo palikuwa na Bunge la wananchi lililoendeshwa na Mwenyekiti wa CDM Freeman Aikaeli Mbowe Kigoma na kikao kingine kiliendeshwa na Waziri mkuu Kassim Majaliwa kukusanya kero za wananchi katika masuala ya kodi.

Hadi tunakwenda mitamboni, kikao Cha wananchi pale Bandari salama kilikuwa kinaongoza 2-1.

KATIBA mpya inaandikwa Kwa Wino wa Dhahabu,

Hatimaye wananchi wameweza kuungana kupinga ukandamizi wa mifumo mbalimbali inayodumaza Uchumi wa mtu mmoja mmoja na Nchi Kwa ujumla.

Mungu wa Mbinguni awabariki.

Amen
 
Leo palikuwa na Bunge la wananchi lililoendeshwa na Mwenyekiti wa CDM freeman Aikaeli Mbowe Kigoma na kikao kingine kiliendeshwa na Waziri mkuu Kassim Majaliwa kukusanya kero za wananchi katika masuala ya kodi.

Hadi tunakwenda mitamboni, kikao Cha wananchi pale Bandari salama kilikuwa kinaongoza 2-1.

KATIBA mpya inaandikwa Kwa Wino wa Dhahabu,

Hatimaye wananchi wameweza kuungana kupinga ukandamizi wa mifumo mbalimbali inayodumaza Uchumi wa mtu mmoja mmoja na Nchi Kwa ujumla.

Mungu wa Mbinguni awabariki.

Amen
Tunaomba link mkuu tupate uhondo
 
Hatimaye wafanyabiashara wa soko kuu bandari salama, wamethibitishia umma wa Watanzania kuwa,

Wananchi Si waoga katika kupambania kesho Yao Kwa Ujasiri.
 
Leo palikuwa na Bunge la wananchi lililoendeshwa na Mwenyekiti wa CDM freeman Aikaeli Mbowe Kigoma na kikao kingine kiliendeshwa na Waziri mkuu Kassim Majaliwa kukusanya kero za wananchi katika masuala ya kodi.

Hadi tunakwenda mitamboni, kikao Cha wananchi pale Bandari salama kilikuwa kinaongoza 2-1.

KATIBA mpya inaandikwa Kwa Wino wa Dhahabu,

Hatimaye wananchi wameweza kuungana kupinga ukandamizi wa mifumo mbalimbali inayodumaza Uchumi wa mtu mmoja mmoja na Nchi Kwa ujumla.

Mungu wa Mbinguni awabariki.

Amen
Hakika !

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Mbowe: Tutakuwa tumefanya makosa makubwa sana kuingia katika uchaguzi wa 2025 bila KATIBA mpya na TUME HURU ya UCHAGUZI.
 
Katibu mkuu CDM, John Mnyika ameendesha uchaguzi na zimepigwa kura za WAZI kuamua ikiwa wananchi wanaridhia Msajili wa Vyama vya siasa kuhodhi mchakato wa KATIBA mpya.

Wananchi Kwa pamoja wamekataa wazi wazi hadaa hizo na kukubaliana na CDM kuwa inatakiwa itungwe SHERIA katika Bunge hili kuruhusu mchakato wa KATIBA uanze kisheria.

Kura za WAZI, haziibwi, nashauri uchaguzi wa aina hii uendelee.
 
Back
Top Bottom