Bunge lakanusha tuhuma za Paul Makonda kuhusika na wizi wa simu bungeni

Bunge lakanusha tuhuma za Paul Makonda kuhusika na wizi wa simu bungeni

Hakuna simu iliyopotea tupo bungeni mkuu kila siku hakuna mtu aliyepoteza simu vitu vingine ni ukatuni wa hali ya juu.
 
Huuu uzi wa Makonda Usifutwe
Ushauri wako umesababisha tumejua mengi. Kuwa Mwenyekiti wa bunge la katiba marehemu mzee Sitta alikuwa baba yake mlezi.
Hivyo ni wazi alitumia madaraka yake kumuokoa "mwanae" na tuhuma za wizi.
Wizi wa simu ni wizi mdogo, lakini unatoa taswira mbaya sana kama mtu alikuwa analipwa shs 300,000 kwa siku na anaiba simu Huyo ni zaidi ya kibaka wa kawaida au ana tatizo la kisaikolojia.
Kwa vile tumempa kuongoza watu milioni 4 wanaoishi DSM ni vema uchunguzi wa wizi ule uliopotezewa na mzee Sitta kumuokoa mwanae ufanyike upya ili kuwaokoa wana Dar na kiongozi wa aina hiyo.
 
Hivi kama ni kweli ataweza kukemea vibaka wa simu? Na nyuma ya tabia hii ana tabia gani mbaya tusiyoijua? Usikute anakoleza hata ganja
 
Ushauri wako umesababisha tumejua mengi. Kuwa Mwenyekiti wa bunge la katiba marehemu mzee Sitta alikuwa baba yake mlezi.
Hivyo ni wazi alitumia madaraka yake kumuokoa "mwanae" na tuhuma za wizi.
Wizi wa simu ni wizi mdogo, lakini unatoa taswira mbaya sana kama mtu alikuwa analipwa shs 300,000 kwa siku na anaiba simu Huyo ni zaidi ya kibaka wa kawaida au ana tatizo la kisaikolojia.
Kwa vile tumempa kuongoza watu milioni 4 wanaoishi DSM ni vema uchunguzi wa wizi ule uliopotezewa na mzee Sitta kumuokoa mwanae ufanyike upya ili kuwaokoa wana Dar na kiongozi wa aina hiyo.
cc; BAK, Elli na mshana jr hebu tupeni uzoefu wenu wa kiuchunguzi
 
Kabisa kabisa hakuna simu iliyopotea kwa mjumbe yeyote tupo vizuri tunapiga kazi.
Mnapiga kazi wapi nyie msaidieni Mkuu wa nji kupambana na rushwa , dhulma, ulaghai na mtoe elimu ya uraiya kwa wananchi wapate kujitambua na vile mlivyotuibia miaka ya nyuma mrudishe mara saba kama mathayo [emoji86] [emoji85]
 
Back
Top Bottom