Bunge lampongeza waziri Ummy Mwalimu kwa kusimamia vizuri mapambano dhidi ya Corona na kuudhibiti

Bunge lampongeza waziri Ummy Mwalimu kwa kusimamia vizuri mapambano dhidi ya Corona na kuudhibiti

Ikikupata wewe ndiyo utajua kuwa hiyo mizaa yenu mnayo ifanya ina madhara kwa jamii

In God we Trust
Wewe ndo una mzaa, toka kafanye kazi acha visingizio, waliokimbia bunge wamerudi!
 
Duh!!!
20200518_221512.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naibu Spika Dr Tulia leo ametambulisha kurejea bungeni kwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu ambaye alikuwa mstari wa mbele kuongoza mapambano dhidi ya Corona hadi kuudhibiti ugonjwa huo.

Bunge zima limempigia makofi ya furaha na kumshukuru kwa namna alivyotoa mchango mkubwa kumsaidia Jemedari mkuu Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona.

Source Star tv!
Hata kama Bunge zima lililipuka kwa shangwe, nderemo na vifijo, ila ninaamini kila mbunge alifanya hivyo akiwa na sababu zake binafsi za kushangilia pongezi za uthibiti wa COVID-19 hapa nchini kwa waziri mwenye dhamana.

Wapo wale walifanya hivyo kwa kutimiza wajibu kwa kushangilia tu pasipo hata kupima uzito wa hoja iliyotolewa, wapo wale kuiga tu, wapo wale wa kutaka kuonekana ijapokuwa mioyoni mwao hawakuafiki, wapo wale wenye kusukumwa na mihemuko, wapo wale kuogopa kuonekana wasaliti kwa wenzao, wapo wale wenye kutaka kuwabeza tu kuwabeza na kuwakejeli wenye misimamo tofauti na yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi imejaa ujinga na wajinga.
Hakuna takwimu zozote zilizotangazwa tangu 29th April, halafu watu wanashangiliana na kupongezana!
Yaani ukificha takwimu ndio tatizo limekwisha!
 
Tumpongeze
Una takwimu? Kamati imetoa taarifa kwake na ametupa marejesho baada ya kututangazia kuundwa kwake, au unafuatisha mambo ya Bunge, kupongezana hata walipofuta Bunge live walipongezana bila kujali wananchi wa hisia gani!
 
Una takwimu? Kamati imetoa taarifa kwake na ametupa marejesho baada ya kututangazia kuundwa kwake, au unafuatisha mambo ya Bunge, kupongezana hata walipofuta Bunge live walipongezana bila kujali wananchi wa hisia gani!
Ni kweli,labda wanampongeza kwa kufanikkwa kuficha takwimu!
 
Kwa mujibu wa lumumba
Nchi imejaa ujinga na wajinga.
Hakuna takwimu zozote zilizotangazwa tangu 29th April, halafu watu wanashangiliana na kupongezana!
Yaani ukificha takwimu ndio tatizo limekwisha!

In God we Trust
 
Naibu Spika Dr Tulia leo ametambulisha kurejea bungeni kwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu ambaye alikuwa mstari wa mbele kuongoza mapambano dhidi ya Corona hadi kuudhibiti ugonjwa huo.

Bunge zima limempigia makofi ya furaha na kumshukuru kwa namna alivyotoa mchango mkubwa kumsaidia Jemedari mkuu Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona.

Source Star tv!

Huu ndio naita ujinga wa kujitakia.
 
Naibu Spika Dr Tulia leo ametambulisha kurejea bungeni kwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu ambaye alikuwa mstari wa mbele kuongoza mapambano dhidi ya Corona hadi kuudhibiti ugonjwa huo.

Bunge zima limempigia makofi ya furaha na kumshukuru kwa namna alivyotoa mchango mkubwa kumsaidia Jemedari mkuu Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona.

Source Star tv!
Ana haki ya kupigiwa makofi aisee ni beautiful sana yule
 
North Korea.

( With term limits only the only hope ).
 
Naibu Spika Dr Tulia leo ametambulisha kurejea bungeni kwa waziri wa afya mh Ummy Mwalimu ambaye alikuwa mstari wa mbele kuongoza mapambano dhidi ya Corona hadi kuudhibiti ugonjwa huo.

Bunge zima limempigia makofi ya furaha na kumshukuru kwa namna alivyotoa mchango mkubwa kumsaidia Jemedari mkuu Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona.

Source Star tv!
Naona mmeamua kumchongea Ummy kwa Jiwe. Yaani sifa mnampa yeye badala ya Jiwe! Lakini sawa tu kwavile sijawahi kuona Jiwe anamtumbua waziri ambaye alimteua yeye kuwa mbunge, labda atasalimika!
 
Wamethibitisha kwa hivi vipimo vinavyopima mbuzi na mapapai?

Ujinga ni kipaji!
Mjinga ni wewe ambae mpaka sasa hujajua kuwa vile vipimo haviwezi kupima sampuli tofauti toka kwa binadamu. Sampuli toka kwa mbuzi na mapapai ilikuwa mtego,vipimo vilipaswa kukataa. Any way Dj alikua anaokota mabaunsa,mtafanya nini sasa.
 
Lichama la ccm ni outdated kabisa. Linategemea ujinga wa watu, propaganda na ubabe tu kutawala.

Eti amedhibiti corona! Ni kwenye movie au?

Chama gani hapa duniani ambacho hakipo outdated? Tutajie wewe nchi ambayo imepata wagonjwa wengi wa Covid -19 kama Tanzania?
 
Back
Top Bottom