Bunge lasema halijapokea barua ya Nyalandu kujiuzulu, lamvua ubunge kutokana na CCM kumfukuza uanachama

Ubaya ni kwamba bila aibu Spika anakuwa PRO wa CCM.
Sijui hiyo kazi kapewa na ni yarabi?
Anapangiwa kazi Polepole siku hizi.
Boss wa Bunge jitambue basi linda kiti chako!!
atajitambuaje kama kuingia mjengoni alimdunda ntu live na ikawa pouwa. sasa kwanini asiwashwe washwe kutetea kiti chake!!
 
Sasa itabidi tuanze kuangalia muda ama saa ya barua kuandikwa
 
Hizi ni siasa za kisanii na ni maelezo yayokanayo na maagizo toka nje ya mhimili....ama kweli wanazidi kujivua nguo hadhani.
 
Haya ni maajabu ya dunia....yaani spika ndo amekuwa msemaji wa chama?....barua ya kufukuzwa inatangazwa na spika shame..!!!

Chama ndo kilitakiwa kuutangazia uma kwamba wamemvua uanachama na kikao kilikaa lini...hii ni aibuuuu ptuuuu
......Albadiri haijawahi kumuacha mtu salama.
 
Seeking for political asylum....he's not Gina escape the judgement cup Of his leadership.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…