Bunge lasema halijapokea barua ya Nyalandu kujiuzulu, lamvua ubunge kutokana na CCM kumfukuza uanachama

Atakoma kuwa mbunge ikiwa litatokea lolote kati ya yafuatayo ,halafu unaandika jambo moja tu ni kukurupuka.Ukitaja au kuandika mosi,au moja lazima kuwe na pili au mbili ingawa siyo lazima kuwe na tatu,nne,nk,,,
 
Ha ha haaaaaaa
Hii kali
Duh
Awamu hii sio ya mchezo mchezo.. kumbe ametemwa ha ha haaaaaaaaaa
 
Kwa jinsi ninavyomuona katibu mkuu Kinana sidhani hiyo barua kama kaandika yeye nadhani atakuwa kaandikiwa ikapelekwa kwenye ofisi ya spika cha msingi imetoka ofisi ya katibu mkuu basi ....Kinana hawezi kuandika hiyo barua coz anajua fika [emoji817]% alichosema Nyalandu ndani yake kinaukweli ndio maana hata yeye ofisi anaikimbia muda mwingi anashinda misikitini ......chama ni kama kimepoteza mwelekeo.
 
Rubbish thinking!! eti kuchukuliwa hatua wakati mpuuzi mmoja anayeitwa ****** alisema kuwa hajapata taarifa za Nyalandu! Taarifa hii ya chama cha majizi imekuja lini@?? na Polepole ni nani kwenye hicho chama aliye sema kuwa ametumia haki yake ya kidemokrasia kuachana na majizi na wauaji?
 
Legal drafting!
 
.... Chadema mnatongozeka kirahisi sana!
 
Sijui ni mpaka lini CCM watakuwa wakweli? hivi wanafikiri watanzania hawa wa leo bado ni wadanganyika?
 
Spika hawezi kusema mbunge huyu halali au siyo halali mpaka ipate taarifa kutoka mamlaka husika. sasa kama wameshapata taarifa si ni lazima watoe taarifa kwa umma. Tatizo lenu aslimia 80 ya nyumbu humu ni darasa la saba sasa ni vigumu sana kwao kuelewa taratibu na kuchanganua mambo.
 
Floppy disk teh teh teh
 
Mnara wa Babeli,
Kila Mmoja na Lugha yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…