Wanamaanisha eti Kinana aliandika Barua (Kwa siri) bila ya Polepole kujuaKiukweli kwa taarifa hiyo ya bunge umaarufu wa Nyalandu umeongezeka. Binafsi nilimsikiliza kwa makini Polepole alipohojiwa na Albert Kilala pale Channel ten alitamka wazi kwamba " Nyalandu ametumia haki yake ya kikatiba kuondoka CCM".......sasa haya ya kufukuzana yanatoka wapi tena?!!
Huu uzushi sasa, CCM hua haifukuzi wanachama wake bila vikao. Na pia katibu Mwenezi juzi angesema kama hili ni kweliView attachment 621961
Moja ya habari kubwa za sasa hivi nchini Tanzania ni Lazaro Nyalandu ambae juzi ametangaza kujiuzulu nafasi zake zote ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM pamoja na Ubunge wa Singida Kaskazini.
Baadae Spika Ndugai alihojiwa na vyombo vya habari na kusema kwamba pamoja na kusikia taarifa za kujiuzulu kwa Nyalandu kwenye vyombo vya habari, yeye bado hajapokea barua ya kujiuzulu kwa Mbunge huyo.
Sasa leo imetoka taarifa kutoka Ofisi ya Bunge Dodoma ikiwa imeandikwa kama inavyosomeka hapo juu..
Kikao gani kimetumika kumvua uanachama Lazaro Nyalandu ? Ameitwa akasikilizwa lini?.... Chadema mnatongozeka kirahisi sana!
Mtu akikwambia una akili kama za Viongozi wa CCM piga umue. Kutakuwa hamna kesi kwani hata mahakimu wanajua hilo ni tusi kubwa kuliko yote.
Mkuu unataka kutuambia Bunge nalo limeshiriki kubariki urongo?Huu uzushi sasa, CCM hua haifukuzi wanachama wake bila vikao. Na pia katibu Mwenezi juzi angesema kama hili ni kweli
msijisahau miezi mitatu ngoma inarudiwa na huyo JIZI mdogo ndo atasimama tena kutetea.MAJIZI YANA KIMBILIA CHADEMA
Wewe nielewe tu hivyo!Kikao gani kimetumika kumvua uanachama Lazaro Nyalandu ? Ameitwa akasikilizwa lini?
vipi amejibu ??Yakitokea wapi? Ukijibu hapa ndio nitaanza kupima kiasi cha mgando uliyomo kwenye medulla.
Ni sawa na kusema ccm ni kichaka cha kufugia wezi' majizi yote ya nchii yapo huko ccm' yanatambuliwa n majizi pale tu yanapoondoka ccm! Shubaaaamitt....MAJIZI YANA KIMBILIA CHADEMA
Mzee muhusika mlimuandika barua ya kumfukuza au ndo ilikua njiani hata spika nae kashindwa mtonya hata kwa text kua umetemwa mpk kachomoka mwenyewe ccm wanapenda siri kwenye kila jambo ahahaha nyalandu alikua mbunge hewa ahahaha dah kuna shida bongoHiyo your take hiyo ndiyo umevuruga mambo kabisa;
Hata hivyo;
Amebipu wenzake wamempigia; sasa historia itasomeka kuwa CCM ndio imemmwaga Nyalandu kutokana na makando kando yake na sio yeye kukiacha chama.
Chezea kudata wewe...Kiukweli kwa taarifa hiyo ya bunge umaarufu wa Nyalandu umeongezeka. Binafsi nilimsikiliza kwa makini Polepole alipohojiwa na Albert Kilala pale Channel ten alitamka wazi kwamba " Nyalandu ametumia haki yake ya kikatiba kuondoka CCM".......sasa haya ya kufukuzana yanatoka wapi tena?!!
Majizi wamebakia CCMMAJIZI YANA KIMBILIA CHADEMA