Kididimo JF-Expert Member Joined Sep 20, 2016 Posts 4,153 Reaction score 3,800 Sep 13, 2021 #42 johnthebaptist said: Kwani soko la Zimbabwe imekuwaje? Mwakani mvua ni chache kutakuwa na mavuno machache, serikali inunue mahindi yote na kuyahifadhi. Click to expand... Umeona mbali
johnthebaptist said: Kwani soko la Zimbabwe imekuwaje? Mwakani mvua ni chache kutakuwa na mavuno machache, serikali inunue mahindi yote na kuyahifadhi. Click to expand... Umeona mbali
K kina kirefu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2018 Posts 15,188 Reaction score 18,583 Sep 13, 2021 #43 holy holm said: 'Serikali imesikia kilio chenu' hii kauli huwa siipendi Click to expand... ndoulaji wa ccm huo Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
holy holm said: 'Serikali imesikia kilio chenu' hii kauli huwa siipendi Click to expand... ndoulaji wa ccm huo Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Jesuitdon JF-Expert Member Joined Dec 18, 2018 Posts 3,153 Reaction score 2,673 Sep 13, 2021 #44 LUWALE said: umenichekesha wewe. jaribu kuomba kibali cha kufanya biashara ya mazao nje ya nchi. ndio utajua urasimu ni nini?. utatembea wewe kutafuta vibali mpaka mahindi yatakutana na ya mavuno ya mwakani hujapata kibali Click to expand... We Mzee uziwa Mali za kijerumani umemwachia nani?
LUWALE said: umenichekesha wewe. jaribu kuomba kibali cha kufanya biashara ya mazao nje ya nchi. ndio utajua urasimu ni nini?. utatembea wewe kutafuta vibali mpaka mahindi yatakutana na ya mavuno ya mwakani hujapata kibali Click to expand... We Mzee uziwa Mali za kijerumani umemwachia nani?
Gama JF-Expert Member Joined Jan 9, 2010 Posts 13,265 Reaction score 4,735 Sep 13, 2021 #45 johnthebaptist said: Kwani soko la Zimbabwe imekuwaje? Mwakani mvua ni chache kutakuwa na mavuno machache, serikali inunue mahindi yote na kuyahifadhi. Click to expand... Hapa umetatuaje tatizo la bei ndogo kwa wakulima?
johnthebaptist said: Kwani soko la Zimbabwe imekuwaje? Mwakani mvua ni chache kutakuwa na mavuno machache, serikali inunue mahindi yote na kuyahifadhi. Click to expand... Hapa umetatuaje tatizo la bei ndogo kwa wakulima?
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Sep 13, 2021 #46 holy holm said: 'Serikali imesikia kilio chenu' hii kauli huwa siipendi Click to expand... π π π
holy holm said: 'Serikali imesikia kilio chenu' hii kauli huwa siipendi Click to expand... π π π