Bunge lazima kumhoji mkuu wa JWTZ au waziri wa ulinzi. Usalama wa taifa. Lt.Col. Seromba

Je, unataka hiyo kikao maalum ?

  • Ndio nataka.

    Votes: 22 88.0%
  • Hapana sitaki.

    Votes: 3 12.0%

  • Total voters
    25

natafuta antvirus ya huyu kirusi siasa katika ubongo wa watz......msaada kwa mwenye nayo tafadhali
 
hiyo ni kamati ya ulinzi na mambo ya nje ndugu,jaani bunge lote likae kumhoji mtu 1 si itakuwa uonevu?

ww ndo shughuli za bunge uyo mtu mmoja unayemzarau unajua impact yake ktk taifa? kuna watu ni muhumu kuliko hta idadi yote ya mkoa refer pengo la nyerere kuanzia TAIFA mpka CCM
 
bunge la sasa halina meno hayo... kuna ushabiki na siasa za bendera
 

maoni yako ni mazuri sana ila ni ya kitoto mno....majeshi ya nchi zote huwa hayapo perfect,na ndo maana mtu mmoja hawe kiuwa na taarifa zote za jeshi labda mkuu wa majeshi na Rais kwa hiyo mi sioni unachoogopa kuhusiana na huyu mtoro...utapoteza muda wako mwingi lakini haitasaidia chochote...watoro ni wengi...kwa mawazo yako wanajeshi hawapaswi kuacha,kukaa na watu,kustaaf nk......hatwendi hivo kama taarifa za jeshi unataka kuzijua zipo nje nje tu ...muulize julius asange wa wikileaks uone kama hatakupa data za kutosha....
usiogope saaana jua jeshi linaundwa na binadamu....waongo wamo,wanaopenda pesa/sifa wamo,wambea wamo nk....
 



Uko sahihi asilimia 100% kabisa.
 
labda maoni yangu ni ya kitoto lakini kusema kama jeshi si perfect kwajila ni binadamu so tuendelee hivyo hivyo, hiyo ndio maoni ya kitoto ! of course there is imperfection and it's our duty to try to correct those imperfection so that in the future, we are protected!
 
Uko sahihi asilimia 100% kabisa.

pongezi kwa kuwaza zaidi ya kikomo cha upeo wako. Jeshini hakuna anayejua zaidi ya yaliyopo katika kambi yake, aghalabu ata asiyajue kwa 100% pia.
 
Haya yote yangewezekana kama:

Sisi waTz tungekuwa serious na nchi yetu. Tatizo ni sisi waTz. Cha kushangaza ni kwamba, hata kwa mambo ya kipuuzi tunayofanyiwa na serikali hii, lkn tunaishia kuwaangalia tu. Inatupasa tubadilike ili tuweze kuiwajibisha hii serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…