DON SINYORI
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 511
- 417
Kule pakistan,kuna kabila moja ambapo utamaduni wake ni kwamba ukitaka kuoa mke wa pili sharti ujaribiwe kama unaweza ku''handle'' wake wawili.
zoezi litolewalo ni kubeba jiwe kama hilo lenye kilo takribani 40 kwa lisaa limoja. ukifaulu basi unaruhusiwa kuongeza mke
View attachment 400606
nlikuwa namwomba bunge lipitishe hyo sheria ku''legalize'' michepuko hapa bongo.au mnaonaje jamani??
hahahhaha vijana wengi watakuwa mabaunsa asee
jamani natania tu am not serious
Kule pakistan,kuna kabila moja ambapo utamaduni wake ni kwamba ukitaka kuoa mke wa pili sharti ujaribiwe kama unaweza ku''handle'' wake wawili.
zoezi litolewalo ni kubeba jiwe kama hilo lenye kilo takribani 40 kwa lisaa limoja. ukifaulu basi unaruhusiwa kuongeza mke
View attachment 400606
nlikuwa namwomba bunge lipitishe hyo sheria ku''legalize'' michepuko hapa bongo.au mnaonaje jamani??
hahahhaha vijana wengi watakuwa mabaunsa asee
jamani natania tu am not serious
eeee sasa gorofa utalibebaje mkuu?mi naweza beba ghorofa yoyote toka dar had mtwara
eeee sasa gorofa utalibebaje mkuu?
Mkuu hicho kirungu kikikutana na ghorofa la ubungo plaza litadondokami naweza beba ghorofa yoyote toka dar had mtwara
Vipi mkuu baada ya hapo wakikagua hawakuti nnya kweli!!!!ikichungulia!!Kule pakistan,kuna kabila moja ambapo utamaduni wake ni kwamba ukitaka kuoa mke wa pili sharti ujaribiwe kama unaweza ku''handle'' wake wawili.
zoezi litolewalo ni kubeba jiwe kama hilo lenye kilo takribani 40 kwa lisaa limoja. ukifaulu basi unaruhusiwa kuongeza mke
View attachment 400606
nlikuwa namwomba bunge lipitishe hyo sheria ku''legalize'' michepuko hapa bongo.au mnaonaje jamani??
hahahhaha vijana wengi watakuwa mabaunsa asee
jamani natania tu am not serious
heheehhee kule pakistan utapewa wanawake wamejaa basi zima la mwendokasiMkuu hicho kirungu kikikutana na ghorofa la ubungo plaza litadondoka
Mkuu hicho kirungu kikikutana na ghorofa la ubungo plaza litadondoka