Bunge letu ni Bunge la ovyo? Bunge linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika naye aanze kuita Watu kwenye Kamati, au waachwe tu?

Kweli niwahuni na WA hovyo

Dr slaa ,hawawezi kumwita watajipalia zaidi moto ,kwasababu anataarifa za ndani ,rejea amesema serikali imeshasain mikataba 17 bila tenda kutangazwa

2-- mkataba unakidhana na katiba JMT,je bunge halikuona hili? Kama waliona awaitaje Sasa(Kwa kutotangaza tenda)

3--- mikataba 17 ,imekuwaje Dr slaa asiye MBunGE aione ,wao wasione

NB ,hapa kunamtego ,Dr kacheza karata vizuri ,wakijichanganya watakutana nae mahakamani
 
Ni aibu sana watu genuine na wenye heshima kama charles kimei kuwa kwenye bunge la wapumbavu kama hilo.
Huwa nashangaa na kukosa majibu!Hivi watu kama kabudi,na wanasheria wengine waliomo bungeni hakuona udhaifu na ubovu wa mkataba huu?kwanini hatukuwasikia wakitumia elimu Yao kusema kile ambacho kilipaswa kuwemo kwenye mkataba?
 
Dhamira Yako inakushuhudia nini juu ya kauli za Dr Slaa?

Una HAKIKA hayo ulouliza ni maswali?
 



Kaka mkubwa, Paskali, wewe ni mtu mzima na msomi, nikinukuu wale wazazi ambao mtoto wao aliponywa na Yesu, 'wewe ni mtu mzima' na in uwelewa mkubwa wa mambo.

Mtu akifanya jambo la hovyo na la kihuni aitweje?

Hali kadhalika, taasisi kwa pamoja (collectively) ikifanya jambo la hovyo na la kihuni napo tuiteje hiyo taasisi?

Tukiweza kuwa na tafsiri sahihi ya haya maswali, tutajua a way forward kwenye hoja iliyo mezani!

Asante
 
Nafikiri Pascal Mayala anamaanisha kwamba Mhusika asipoitwa basi wakati ule yeye alionewa.

Ukweli ni kwamba hakuna hoja iliyojadiliwa zaidi ya ile iliyopelekwa Mjengoni kutafuta uungwaji mkono. Kila aliyenyanyuka alisema ni kwanini anaunga mkono hoja na siyo kujadili hoja yenyewe. Sasa kama sio wahuni ninani???
 
Spika ndiyo muhuni kuliko hata hao wabunge wenyewe
 
Ninaamini Bunge na wabunge makini hawawezi kukubali kwenda kujadili jambo ambalo nao wamelisikia narudia wamelisikia chini ya saa 48, wengi walikwenda kujibu mapigo huku wakiamini Tanzania ni mali ya wanaccm na wasio wanaccm hawana haki kuongea lolote linalohusu uendeshaji wa nchi na ndio hao wanaolaumu uwepo wa muafaka.
Bunge makini haliwezi kuweka kikao kumjadili mwananchi asiye mbunge na hayumo ndani ya bunge, ninaamini hili hufanyika Tanzania tu, hata hivyo nijulishe nchi nyingine inayomjadili mpitanjia kama ipo.
 
Wasira, ni Mwenyekiti wa Board hana mshahara. Uzoefu wake ni mkubwa kutoa ushauri

Pili, lini Wasira au Bulembo wame post au kutoa taarifa za kujipendekeza hata kama ni za uongo toka Samia awe Rais?
Kompyuta ikiwa mpya husifiwa kwa ufanisi wake na kila saa hufutwa vumbi, muda si muda kompyuta hiyo hutupwa baada ya kuonekana ufanisi wake umepungua, Wassira amepungua kwenye uwezo wake wa kufikiri kutokana na umri wake, apumzike kama walivyofanya aliowinda nao ndege huko kwenye mapori ya Mwitongo.
 
Tkuulize
Nikuulize na wewe; wewe unalionaje hili Bunge? Ni la hovyo?
 

Dr. Slaa is absolutely right. This was expected from Corrupted and disgrace MPS and other systems
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…