Bunge letu ni Bunge la ovyo? Bunge linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika naye aanze kuita Watu kwenye Kamati, au waachwe tu?

Bunge letu ni Bunge la ovyo? Bunge linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika naye aanze kuita Watu kwenye Kamati, au waachwe tu?

Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za kwa maslahi ya taifa ambazo ziko kwa mfumo wa maswali, halafu majibu utayatoa mwenyewe wewe msomaji.

Maswali ya leo ni Bunge Letu ni Bunge la Hovyo? Bunge Letu Linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika Aanze Kuita Watu Kwenye Kamati, au Waachwe Tuu?.

Maswali haya ni kufuatia mkutano wa jana na waandishi wa habari Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi



Baada ya kuzisoma hizo hoja, kabla sijaandika, nikatafuta kwanza clips ili kujiridhisha ni kweli maneno haya ameyamtaka kweli?, maana fani ya uandishi wa habari siku hizi imevamiwa, kuna waandishi wa habari wa kila aina kuanzia comedians, wasanii, na waandishi wengine wa hovyo sana, usipokuwa makini, sometimes waandishi hawa wa habari wa hovyo hovyo, hawachelewi kukulisha maneno!, hivyo nikamsikiliza mwanzo mwisho na kujirishisha kuwa ni kweli maneno hayo ameyasema, na sio tuu ameyasema, bali pia ameyaandika kwanza kisha akaja kutusomea sisi waandishi wa habari.



Kabla sijaendelea, naomba kuwakuwakumbusha wasomaji wangu, tujifunze kutofautisha definite statements na maswali. Hakuna statement kwenye bandiko hili, ni bandiko la swali! Natoa angalizo hili kwasababu mimi mwenzenu nimeisha wahi kuitwa all the way from Dar to Dodoma, kufika kule nikaulizwa kwanini umetoa hii statement? Nikajibu hiyo sio statement ni swali! Hivyo hapa nasisitiza hili ni bandiko la swali sio bandiko la statement!

Dr. Slaa ameliita Bunge Letu ni Bunge la Hovyo, na kilichofanyika kuridhia IGA ni uhuni? Ndio maana nauliza waungwana humu, hiki alichokisema Dr. Slaa kinaukweli kuhusu Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Kilichofanywa na Bunge letu kuridhia IGA ya DPW ni uhuni?. Wanaofanya uhuni ni wahuni, jee Wabunge wetu ni Wahuni?.

Bunge letu Tukufu haliwezi kudhalilishwa hivi tukanyama! Je, tumshauri Madam Spika aanze ule utaratibu kama wa mtangulizi wake kuita watu kwenye Kamati, watu wowote watakao toa kauli za kulidhalilisha Bunge, au waachwe tuu kwasababu wanatoa maoni yao kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba kuhusu uhuru wa kutoa maoni?

Nashauri Daktari aitwe mbele ya Kamati!. Mimi nilipouliza tu, hili swali Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? niliitwa Bungeni kuhojiwa na kamati!, sasa leo Bunge linaitwa la hovyo! na kilichofanyika ni uhuni!, mtu huyu hawezi kuachwa hivi hivi tuu au aitwe mbele ya kamati kuthibitisha kauli yake?

Na ikitokea asipoitwa, jee hii haitaaminisha alichosema ni kweli?, ndio maana nawauliza waungwana humu, jee ni kweli Bunge letu ni Bunge la hovyo? Jee ni kweli kilichofanyika kwa Bunge kuridhia hii IGA ya serikali yetu na Mwarabu wa Dubai ni uhuni? Mtu anayefanya uhuni ni muhuni, jee waheshimiwa wabunge wetu ni wahuni?

Paskali

Pascal Mayalla, uwe makini na statements zako. Unasema kuwa 'bumge letu', bunge lenu, wewe na nani? Tupo ambao tunaamini kuwa kwa sasa nchi yetu haina bunge. Na hilo limethibitishwa mpaka na hukumu ya mahakama kuu kwamba kuna watu wamejipa ubunge. Hawakuchaguliwa na mtu yeyote, hao wewe unawaita ni wabunge wako?

Kuna wahuni wamejazana bungeni waliopora haki za wananchi kuwachagua wabunge. Wakuna mwananchi anayewakilishwa na wahuni waliopokonya haki ya wananchi.

Kwa maswali yako:

1) Hatuna bunge, kuna wahuni waliopokonya haki za wananchi wakajitawaza kuwa ni wabunge.

2) Bunge huwa halina wahuni, na itabakia hivyo. Kilichotokea ni wahuni kujiita wabunge.

3) Wahuni lazima waongozwe na mhuni mwenzao. Wanaweza kumwita jina lolote lile. Mhuni hana haki ya kumwita yeyote kumhoji kwa nini ameitwa mhuni. Sasa kama kuna syndicate ya wahuni bungeni, iitwe kwa jina gani zaidi ya kuitwa kwa jina lake halisia?

4) Dr. Slaa ametumia lugha ya staha sana kuiita Serikali ya sasa ni yenye uhalali wa mashaka. Katiba inasema kuwa kiongozi mkuu wa Serikali ni Waziri Mkuu. Mkuu wa nchi ni Rais wa JMT. Katiba inasema kuwa Waziri mkuu atateuliwa na Rais kutoka chama chenye wabunge wengi na kuidhinishwa na Bunge, na lazima awe ni mbunge wa kuchaguliwa. Mwulize Majaliwa alichaguliwa na nani, alipata kura ngapi? Majaluwa kutoitwa mhuni, ni staha tu ya Watanzania, lakini alistahili kuitwa hivyo.
 
Pascal Mayalla, uwe makini na statements zako. Unasema kuwa 'bumge letu', bunge lenu, wewe na nani? Tupo ambao tunaamini kuwa kwa sasa nchi yetu haina bunge. Na hilo limethibitishwa mpaka na hukumu ya mahakama kuu kwamba kuna watu wamejipa ubunge. Hawakuchaguliwa na mtu yeyote, hao wewe unawaita ni wabunge wako?

Kuna wahuni wamejazana bungeni waliopora haki za wananchi kuwachagua wabunge. Wakuna mwananchi anayewakilishwa na wahuni waliopokonya haki ya wananchi.

Kwa maswali yako:

1) Hatuna bunge, kuna wahuni waliopokonya haki za wananchi wakajitawaza kuwa ni wabunge.

2) Bunge huwa halina wahuni, na itabakia hivyo. Kilichotokea ni wahuni kujiita wabunge.

3) Wahuni lazima waongozwe na mhuni mwenzao. Wanaweza kumwita jina lolote lile. Mhuni hana haki ya kumwita yeyote kumhoji kwa nini ameitwa mhuni. Sasa kama kuna syndicate ya wahuni bungeni, iitwe kwa jina gani zaidi ya kuitwa kwa jina lake halisia?

4) Dr. Slaa ametumia lugha ya staha sana kuiita Serikali ya sasa ni yenye uhalali wa mashaka. Katiba inasema kuwa kiongozi mkuu wa Serikali ni Waziri Mkuu. Mkuu wa nchi ni Rais wa JMT. Katiba inasema kuwa Waziri mkuu atateuliwa na Rais kutoka chama chenye wabunge wengi na kuidhinishwa na Bunge, na lazima awe ni mbunge wa kuchaguliwa. Mwulize Majaliwa alichaguliwa na nani, alipata kura ngapi? Majaluwa kutoitwa mhuni, ni staha tu ya Watanzania, lakini alistahili kuitwa hivyo.
Aah! Kumbe na suti zote zile hakuchaguliwa na wanatandahimba! Sikulijua hilo.
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za kwa maslahi ya taifa ambazo ziko kwa mfumo wa maswali, halafu majibu utayatoa mwenyewe wewe msomaji.

Maswali ya leo ni Bunge Letu ni Bunge la Hovyo? Bunge Letu Linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika Aanze Kuita Watu Kwenye Kamati, au Waachwe Tuu?.

Maswali haya ni kufuatia mkutano wa jana na waandishi wa habari Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi

Baada ya kuzisoma hizo hoja, kabla sijaandika, nikatafuta kwanza clips ili kujiridhisha ni kweli maneno haya ameyamtaka kweli?, maana fani ya uandishi wa habari siku hizi imevamiwa, kuna waandishi wa habari wa kila aina kuanzia comedians, wasanii, na waandishi wengine wa hovyo sana, usipokuwa makini, sometimes waandishi hawa wa habari wa hovyo hovyo, hawachelewi kukulisha maneno!, hivyo nikamsikiliza mwanzo mwisho na kujirishisha kuwa ni kweli maneno hayo ameyasema, na sio tuu ameyasema, bali pia ameyaandika kwanza kisha akaja kutusomea sisi waandishi wa habari.

Kabla sijaendelea, naomba kuwakuwakumbusha wasomaji wangu, tujifunze kutofautisha definite statements na maswali. Hakuna statement kwenye bandiko hili, ni bandiko la swali!. Natoa angalizo hili kwasababu mimi mwenzenu nimeisha wahi kuitwa all the way from Dar to Dodoma, kufika kule nikaulizwa kwanini umetoa hii statement?, Nikajibu hiyo sio statement ni swali!. Hivyo hapa nasisitiza hili ni bandiko la swali sio bandiko la statement!.

Dr. Slaa ameliita Bunge Letu ni Bunge la Hovyo, na kilichofanyika kuridhia IGA ni uhuni?, ndio maana nauliza waungwana humu, hiki alichokisema Dr. Slaa kinaukweli kuhusu Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Kilichofanywa na Bunge letu kuridhia IGA ya DPW ni uhuni?. Wanaofanya uhuni ni wahuni, jee Wabunge wetu ni Wahuni?.

Bunge letu Tukufu haliwezi kudhalilishwa hivi tukanyama!, jee tumshauri Madam Spika aanze ule utaratibu kama wa mtangulizi wake kuita watu kwenye Kamati, watu wowote watakao toa kauli za kulidhalilisha Bunge, au waachwe tuu kwasababu wanatoa maoni yao kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba kuhusu uhuru wa kutoa maoni?.

Nashauri Daktari aitwe mbele ya Kamati!. Mimi nilipouliza tuu , hili swali Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? niliitwa Bungeni kuhojiwa na kamati!, sasa leo Bunge linaitwa la hovyo!, na kilichofanyika ni uhuni!, mtu huyu hawezi kuachwa hivi hivi tuu au aitwe mbele ya kamati kuthibitisha kauli yake?.

Na ikitokea asipoitwa, jee hii haitaaminisha alichosema ni kweli?, ndio maana nawauliza waungwana humu, jee ni kweli Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Jee ni kweli kilichofanyika kwa Bunge kuridhia hii IGA ya serikali yetu na Mwarabu wa Dubai ni uhuni?. Mtu anayefanya uhuni ni muhuni, jee waheshimiwa wabunge wetu ni wahuni?.

Paskali

Asante ndugu Muandishi kwa shabaaha mujarabu.
Kwanza kabisa alichokisema Dr, Padre W.P.Slaa sio utashi mwema, na kwakweli sio ungwana kwa kiongozi makini, mzoefu aliewahi kufikiriwa nafasi ya juu nchini kama huyu kuukosea ustahimilivu na hatimae kuushushia heshima muhimili huu muhimu wa bunge. Angeweza kutumia lugha nyingine kulingana na heshima yake nchini hata kama ameghadhabishwa na kilichofanywa na Bunge. Binafsi naona ni sahihi sana na kwakweli naunga mkono pendekezo la kua, aitwe kwenye kamati ya Bunge, na Ungwana ni vitendo namshauri aitikie wito na aliombe radhi bunge na waTanzania ambao nao wameghadhabishwa na kauli yake isiyokua na nidhamu ndani yake. Vinginevyo mjadala wa hoja zake muhimu utashift badala ya wananchi na makundi mbalimbali kujadili hoja zake, mjadala na vita za maneno kuhusu kauli zake za dharau kwa Bunge na zilizokosa matashi mema ya kiuongozi. Aidha akikaza shingo atadhalilika zaidi na waliojipanga kimdalilisha kisiasa.
 
Njaa itakuuwa wewe mayalla!..... lini utaacha ukuwadi!? Hata ubunge wa kuteuliwa tu wamekunyima! Achilia mbali ubunge wa afrika mashariki....

Sijapata kuona mwaandishi mnafiki! Na mzandiki kama wewe!

Ndio maana hata Mwenda zake alikuita NJAA!.....LIVE IKULU!

Kilichofanywa na Bunge wewe unaiona kiko sawa!? Kuharakisha tusipate muda wa kuhoji!?

Njaa na uoga vitakumaliza!....

Shamba unalopalilia kila siku kukicha.....
Lakini wanavunaniwa wengine.....hushtuki tu!
 
Asante ndugu Muandishi kwa shabaaha mujarabu.
Kwanza kabisa alichokisema Dr, Padre W.P.Slaa sio utashi mwema, na kwakweli sio ungwana kwa kiongozi makini, mzoefu aliewahi kufikiriwa nafasi ya juu nchini kama huyu kuukosea ustahimilivu na hatimae kuushushia heshima muhimili huu muhimu wa bunge. Angeweza kutumia lugha nyingine kulingana na heshima yake nchini hata kama ameghadhabishwa na kilichofanywa na Bunge. Binafsi naona ni sahihi sana na kwakweli naunga mkono pendekezo la kua, aitwe kwenye kamati ya Bunge, na Ungwana ni vitendo namshauri aitikie wito na aliombe radhi bunge na waTanzania ambao nao wameghadhabishwa na kauli yake isiyokua na nidhamu ndani yake. Vinginevyo mjadala wa hoja zake muhimu utashift badala ya wananchi na makundi mbalimbali kujadili hoja zake, mjadala na vita za maneno kuhusu kauli zake za dharau kwa Bunge na zilizokosa matashi mema ya kiuongozi. Aidha akikaza shingo atadhalilika zaidi na waliojipanga kimdalilisha kisiasa.
Mhuni au mshenzi hana jina jingine zaidi ya alivyo. Kama unafanya uhuni, sasa uitwe nani?
 
Ni bunge takataka sio la hovyo tu
Wale ni wahuni tu.Hata kuingia bungeni waliingia kihuni.Mambo mengi wanayosifia na kupongeza ndiyo ymefanya maisha yetu kuwa magumu. Sheria za hovyo kama zile za kutoa Kinga kwa viongozi wasiostahili Kinga,Sheria za Kodi na tozo zinazofanya maisha yetu kuwa magumu,sheria za mafao tofauti kwa wanasiasa na watumishi wa umma (kikotoo) haya yote ni mtu mbinafsi tu anaweza kupitisha.
Lile siyo bunge ni genge la wahuni tupu
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za kwa maslahi ya taifa ambazo ziko kwa mfumo wa maswali, halafu majibu utayatoa mwenyewe wewe msomaji.

Maswali ya leo ni Bunge Letu ni Bunge la Hovyo? Bunge Letu Linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika Aanze Kuita Watu Kwenye Kamati, au Waachwe Tuu?.

Maswali haya ni kufuatia mkutano wa jana na waandishi wa habari Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi



Baada ya kuzisoma hizo hoja, kabla sijaandika, nikatafuta kwanza clips ili kujiridhisha ni kweli maneno haya ameyamtaka kweli?, maana fani ya uandishi wa habari siku hizi imevamiwa, kuna waandishi wa habari wa kila aina kuanzia comedians, wasanii, na waandishi wengine wa hovyo sana, usipokuwa makini, sometimes waandishi hawa wa habari wa hovyo hovyo, hawachelewi kukulisha maneno!, hivyo nikamsikiliza mwanzo mwisho na kujirishisha kuwa ni kweli maneno hayo ameyasema, na sio tuu ameyasema, bali pia ameyaandika kwanza kisha akaja kutusomea sisi waandishi wa habari.



Kabla sijaendelea, naomba kuwakuwakumbusha wasomaji wangu, tujifunze kutofautisha definite statements na maswali. Hakuna statement kwenye bandiko hili, ni bandiko la swali! Natoa angalizo hili kwasababu mimi mwenzenu nimeisha wahi kuitwa all the way from Dar to Dodoma, kufika kule nikaulizwa kwanini umetoa hii statement? Nikajibu hiyo sio statement ni swali! Hivyo hapa nasisitiza hili ni bandiko la swali sio bandiko la statement!

Dr. Slaa ameliita Bunge Letu ni Bunge la Hovyo, na kilichofanyika kuridhia IGA ni uhuni? Ndio maana nauliza waungwana humu, hiki alichokisema Dr. Slaa kinaukweli kuhusu Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Kilichofanywa na Bunge letu kuridhia IGA ya DPW ni uhuni?. Wanaofanya uhuni ni wahuni, jee Wabunge wetu ni Wahuni?.

Bunge letu Tukufu haliwezi kudhalilishwa hivi tukanyama! Je, tumshauri Madam Spika aanze ule utaratibu kama wa mtangulizi wake kuita watu kwenye Kamati, watu wowote watakao toa kauli za kulidhalilisha Bunge, au waachwe tuu kwasababu wanatoa maoni yao kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba kuhusu uhuru wa kutoa maoni?

Nashauri Daktari aitwe mbele ya Kamati!. Mimi nilipouliza tu, hili swali Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? niliitwa Bungeni kuhojiwa na kamati!, sasa leo Bunge linaitwa la hovyo! na kilichofanyika ni uhuni!, mtu huyu hawezi kuachwa hivi hivi tuu au aitwe mbele ya kamati kuthibitisha kauli yake?

Na ikitokea asipoitwa, jee hii haitaaminisha alichosema ni kweli?, ndio maana nawauliza waungwana humu, jee ni kweli Bunge letu ni Bunge la hovyo? Jee ni kweli kilichofanyika kwa Bunge kuridhia hii IGA ya serikali yetu na Mwarabu wa Dubai ni uhuni? Mtu anayefanya uhuni ni muhuni, jee waheshimiwa wabunge wetu ni wahuni?

Paskali

La hovyo, waoga kwa kulinda maslahi yao, hawajali raia, nchi wala vizazi vyao. Hawana upeo, waroho wa mali na anasa.
Latakiwa kuvunjwa na tuwachuguwe SISI RAIA BILA KUJALI CHAMA!😡😠🤬
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za kwa maslahi ya taifa ambazo ziko kwa mfumo wa maswali, halafu majibu utayatoa mwenyewe wewe msomaji.

Maswali ya leo ni Bunge Letu ni Bunge la Hovyo? Bunge Letu Linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika Aanze Kuita Watu Kwenye Kamati, au Waachwe Tuu?.

Maswali haya ni kufuatia mkutano wa jana na waandishi wa habari Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi



Baada ya kuzisoma hizo hoja, kabla sijaandika, nikatafuta kwanza clips ili kujiridhisha ni kweli maneno haya ameyamtaka kweli?, maana fani ya uandishi wa habari siku hizi imevamiwa, kuna waandishi wa habari wa kila aina kuanzia comedians, wasanii, na waandishi wengine wa hovyo sana, usipokuwa makini, sometimes waandishi hawa wa habari wa hovyo hovyo, hawachelewi kukulisha maneno!, hivyo nikamsikiliza mwanzo mwisho na kujirishisha kuwa ni kweli maneno hayo ameyasema, na sio tuu ameyasema, bali pia ameyaandika kwanza kisha akaja kutusomea sisi waandishi wa habari.



Kabla sijaendelea, naomba kuwakuwakumbusha wasomaji wangu, tujifunze kutofautisha definite statements na maswali. Hakuna statement kwenye bandiko hili, ni bandiko la swali! Natoa angalizo hili kwasababu mimi mwenzenu nimeisha wahi kuitwa all the way from Dar to Dodoma, kufika kule nikaulizwa kwanini umetoa hii statement? Nikajibu hiyo sio statement ni swali! Hivyo hapa nasisitiza hili ni bandiko la swali sio bandiko la statement!

Dr. Slaa ameliita Bunge Letu ni Bunge la Hovyo, na kilichofanyika kuridhia IGA ni uhuni? Ndio maana nauliza waungwana humu, hiki alichokisema Dr. Slaa kinaukweli kuhusu Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Kilichofanywa na Bunge letu kuridhia IGA ya DPW ni uhuni?. Wanaofanya uhuni ni wahuni, jee Wabunge wetu ni Wahuni?.

Bunge letu Tukufu haliwezi kudhalilishwa hivi tukanyama! Je, tumshauri Madam Spika aanze ule utaratibu kama wa mtangulizi wake kuita watu kwenye Kamati, watu wowote watakao toa kauli za kulidhalilisha Bunge, au waachwe tuu kwasababu wanatoa maoni yao kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba kuhusu uhuru wa kutoa maoni?

Nashauri Daktari aitwe mbele ya Kamati!. Mimi nilipouliza tu, hili swali Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? niliitwa Bungeni kuhojiwa na kamati!, sasa leo Bunge linaitwa la hovyo! na kilichofanyika ni uhuni!, mtu huyu hawezi kuachwa hivi hivi tuu au aitwe mbele ya kamati kuthibitisha kauli yake?

Na ikitokea asipoitwa, jee hii haitaaminisha alichosema ni kweli?, ndio maana nawauliza waungwana humu, jee ni kweli Bunge letu ni Bunge la hovyo? Jee ni kweli kilichofanyika kwa Bunge kuridhia hii IGA ya serikali yetu na Mwarabu wa Dubai ni uhuni? Mtu anayefanya uhuni ni muhuni, jee waheshimiwa wabunge wetu ni wahuni?

Paskali
Ulishaaga humu JF, umesahau nini tena hadi umerudi na nyuzi zako hizi?
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za kwa maslahi ya taifa ambazo ziko kwa mfumo wa maswali, halafu majibu utayatoa mwenyewe wewe msomaji.

Maswali ya leo ni Bunge Letu ni Bunge la Hovyo? Bunge Letu Linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika Aanze Kuita Watu Kwenye Kamati, au Waachwe Tuu?.

Maswali haya ni kufuatia mkutano wa jana na waandishi wa habari Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi



Baada ya kuzisoma hizo hoja, kabla sijaandika, nikatafuta kwanza clips ili kujiridhisha ni kweli maneno haya ameyamtaka kweli?, maana fani ya uandishi wa habari siku hizi imevamiwa, kuna waandishi wa habari wa kila aina kuanzia comedians, wasanii, na waandishi wengine wa hovyo sana, usipokuwa makini, sometimes waandishi hawa wa habari wa hovyo hovyo, hawachelewi kukulisha maneno!, hivyo nikamsikiliza mwanzo mwisho na kujirishisha kuwa ni kweli maneno hayo ameyasema, na sio tuu ameyasema, bali pia ameyaandika kwanza kisha akaja kutusomea sisi waandishi wa habari.



Kabla sijaendelea, naomba kuwakuwakumbusha wasomaji wangu, tujifunze kutofautisha definite statements na maswali. Hakuna statement kwenye bandiko hili, ni bandiko la swali! Natoa angalizo hili kwasababu mimi mwenzenu nimeisha wahi kuitwa all the way from Dar to Dodoma, kufika kule nikaulizwa kwanini umetoa hii statement? Nikajibu hiyo sio statement ni swali! Hivyo hapa nasisitiza hili ni bandiko la swali sio bandiko la statement!

Dr. Slaa ameliita Bunge Letu ni Bunge la Hovyo, na kilichofanyika kuridhia IGA ni uhuni? Ndio maana nauliza waungwana humu, hiki alichokisema Dr. Slaa kinaukweli kuhusu Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Kilichofanywa na Bunge letu kuridhia IGA ya DPW ni uhuni?. Wanaofanya uhuni ni wahuni, jee Wabunge wetu ni Wahuni?.

Bunge letu Tukufu haliwezi kudhalilishwa hivi tukanyama! Je, tumshauri Madam Spika aanze ule utaratibu kama wa mtangulizi wake kuita watu kwenye Kamati, watu wowote watakao toa kauli za kulidhalilisha Bunge, au waachwe tuu kwasababu wanatoa maoni yao kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba kuhusu uhuru wa kutoa maoni?

Nashauri Daktari aitwe mbele ya Kamati!. Mimi nilipouliza tu, hili swali Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? niliitwa Bungeni kuhojiwa na kamati!, sasa leo Bunge linaitwa la hovyo! na kilichofanyika ni uhuni!, mtu huyu hawezi kuachwa hivi hivi tuu au aitwe mbele ya kamati kuthibitisha kauli yake?

Na ikitokea asipoitwa, jee hii haitaaminisha alichosema ni kweli?, ndio maana nawauliza waungwana humu, jee ni kweli Bunge letu ni Bunge la hovyo? Jee ni kweli kilichofanyika kwa Bunge kuridhia hii IGA ya serikali yetu na Mwarabu wa Dubai ni uhuni? Mtu anayefanya uhuni ni muhuni, jee waheshimiwa wabunge wetu ni wahuni?

Paskali

Mkuu
Hata sisi wananchi tunaamini Bunge letu uhalali wake ni wa mashaka.

Siungi mkono uchaguzi 2020 ulivyofanyika
 
Back
Top Bottom