Bunge libadili Sheria ya makosa ya jinai, mtu anekamatwa nyumbani/ mtaani ni lazima mjumbe wa nyumba kumi na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wawepo

INASIKITISHA WALLAH.
Mtu hawezi kutekwa Dar-es-salaam au mkoa mwingine kisha apatikane mkoa mwingine zaidi kama Katavi huko.

Huo ni unyama na ukatili na pia ni kunyume cha haki za binadamu.
 
Mtu hawezi kutekwa Dar-es-salaam au mkoa mwingine kisha apatikane mkoa mwingine zaidi kama Katavi huko.

Huo ni unyama na ukatili na pia ni kunyume cha haki za binadamu.
INASIKITISHA WALLAH.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…