Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio Akili zenu zilivyoBunge lijalo litakua ndioooo! Amna hoja za kupinga kuleta changamoto!
Mmoja akisema wanaume tuvae sketi wore utaskia ndioooooo!
Alafu inapelekwa kwa mkuu anapiga saini!
Na ole wako mbaba ukatae kuvaa gauni utaisoma namba[emoji1787]
Hongera mkuu kwa ushindi wenu wa lishetani nadhani we mwenyewe rohoni unalijua ila tu utajitetea kishabiki kulinda maslahi yako binafsiSi ndio Akili zenu zilivyo
We bhan acha kuimba Ngonjera...Hongera mkuu kwa ushindi wenu wa lishetani nadhani we mwenyewe rohoni unalijua ila tu utajitetea kishabiki kulinda maslahi yako binafsi
Mnataka tuandamane mtuue! Nina watoto asee wadogo!We bhan acha kuimba Ngonjera...
Si uandamane
Safii.. piga kaziMnataka tuandamane mtuue! Nina watoto asee wadogo!
Mnapenda kuua,mtakufa mtuache
Na nyie endeleeni na uwizi wenu na Muwe na ijumaa njemaSafii.. piga kazi
Usitafute Ulemavu wa kujitakia..
Tunza familia
Kwa hiyo unataka wapinge tu hata kama hakuna cha kupinga?Bunge lijalo litakua ndioooo! Amna hoja za kupinga kuleta changamoto!
Mmoja akisema wanaume tuvae sketi wore utaskia ndioooooo!
Alafu inapelekwa kwa mkuu anapiga saini!
Na ole wako mbaba ukatae kuvaa gauni utaisoma namba🤣
Kwa mfano wewe Ni mbunge wa CCM ukisema wanaume tuvae shanga, Mimi sitopinga kwa sababu Ni tuko chama kimoja?Kwa hiyo unataka wapinge tu hata kama hakuna cha kupinga?
Tutegemee Sheria kandamizi zilizotungwa na mtu mmoja!Speaker:Huko jamii forum wanasumbua sumbua sana,tuwafanyeje?
Mrisho Gambo:Mh.Speaker kwa wingi wetu lukuki tutunge sheria ya kufuta mitandao yote ya kijamii Tanzania
Wabunge wote:Paah,Paaah,Paaaah,imepita hiyooooo!
😂 😂 😂John sins:
ningependekeza tubadili katiba pale kwenye kipindi cha utawala rahisi aongezewe mda
Mbogamboga
Pwah pwah pwah !!!!
Kazi ndugu
mmelihafiki hilo
Mbogamboga
Ndioooo
Ndiooooooo
We ni hatari kumbe unamjua john sins[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eti John Sins..!!