Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Naomba nionyeshe mapendekezo yangu juu ya Spika ajae katika Bunge letu laJamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nadhani mwanadada Tulia Ackson anafaa kuwa Spika wa Bunge letu la JMT mwaka 2021.
Ila angalizo akagombee Tukuyu au awe wa kuteuliwa kama alivyo sasa. Mbeya hapana Sugu bado heshima na nyota yake ni kubwa mno.
Ila naomba Bunge lijalo Spika awe mwanamke.
Asanteni kwa kunisikiliza.
Superbug !
Nadhani mwanadada Tulia Ackson anafaa kuwa Spika wa Bunge letu la JMT mwaka 2021.
Ila angalizo akagombee Tukuyu au awe wa kuteuliwa kama alivyo sasa. Mbeya hapana Sugu bado heshima na nyota yake ni kubwa mno.
Ila naomba Bunge lijalo Spika awe mwanamke.
Asanteni kwa kunisikiliza.
Superbug !