Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Feb 8, 2022 #41 Uhalifu uliohalalishwa
maiyanga1 JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 1,340 Reaction score 1,832 Feb 8, 2022 #42 Hili limekuja baada ya wanaotuhumiwa kwa ugaidi kueleza jinsi walivyoteswa. Ni kinga kwa Kingai and co.
Hili limekuja baada ya wanaotuhumiwa kwa ugaidi kueleza jinsi walivyoteswa. Ni kinga kwa Kingai and co.
J jabulani JF-Expert Member Joined Aug 1, 2015 Posts 5,547 Reaction score 11,704 Feb 8, 2022 #43 Polisi wa CCM wanapewa licence to kill, raia tutakoma.
Frustration JF-Expert Member Joined Jan 30, 2018 Posts 3,134 Reaction score 4,124 Feb 8, 2022 #44 Moja ya athari ni kuongezeka kwa vitendo vya uonevu kwa raia na hii itafanya wananchi walikatae jeshi la polisi na kutolitambua.
Moja ya athari ni kuongezeka kwa vitendo vya uonevu kwa raia na hii itafanya wananchi walikatae jeshi la polisi na kutolitambua.