pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Lilipita kwa magumashi sawa lakini ndo hilohilo lipoKwanini mliamua kuwa na Bunge la watu walipita Kwa magumashi
Basi tulia tuendelee na mambo yetu Una hoji nini !!!Lilipita kwa magumashi sawa lakini ndo hilohilo lipo
Ukigusa maslahi yao wanang'aka Kama niniWanaongea ili mwenyekiti awaone wajihakikishie ulaji.
Mambo ya wananchi si kitu kwao,ni watu wa mishahara.
Angetamka maneno hayohayo Gwajima wangemmeza kabisa yaaniKuna mtu aliwahi kuwaambia wanademka tu huko bungeni hatukuona job akitikisa hata mguu!!
Ukifatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni. Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili slaa na gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
CCM maslahi yao yakiguswa ni wakali kwelikweli
Siwaelewi yaani.Hawajui kwanini wapo hapo
Wanajua mipasho tu?Siwaelewi yaani.