Bunge linamjadili mtu kwa uchungu kuliko kujadili yanavyoumiza wananchi

Bunge linamjadili mtu kwa uchungu kuliko kujadili yanavyoumiza wananchi

Kuanzia Rais hadi wabunge hamna kitu,tulipigwa hapa inshu zinazohusu ustawi wa afya ya Taifa hawajadili, maumivu kwa wananchi juu ya tozo,kupanda bei kwa mafuta ya petrol na Diesel hawaongei,lakini yameguswa kwenye maslahi yao wameng'aka misili ya Simba mwenye njaa,ni bunge la kipumbavu na la kijinga,Ndugai mshenzi sana,kati ya mijitu mijinga isiyotumia akili na busara ni Ndugai!
Yaani hadi kichefuchefu
 
Ukifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni.

Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
Sijawahi kuona Bunge la kipumbavu kama hili, wapo kwa maslahi yao tu
 
Kuhusu matozo, eliminate hovyo, kuibiwa mabilioni na mahasara ya atcl hiyo haiwahusu na wananchi hawajawatuma iyokitu!! Imewatuma kumkomalia slaa na gwajiboi
 
Ukifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni.

Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
Gwajima na mwenzio waligusa masrahi ya wafalme.., maana kina Ndugai na wenziye wanajiona ni wafalme.., mpaka wanasahau kama mwisho wao pia ni mchangani kama iliivyo kwa raia wengine.
 
Hili bunge limegeuka kuwa genge la wahuni, hawana tofauti wa wavuta bangi
 
Ndugaye anapambana amalizie hoteli yake, Hawezi kukubali kamwe mtu aingilie maslahi ya wabunge, ni bora mumuone mbaya tu, kwani anaathirika na nini mkimtukana?

Tukisema tupate katiba mpya itakayowaondolea kinga ya kushtakiwa kuna watu wanaanza kudemka. Unafikiri ndugai zaidi ya kumsema huku mitandaoni una chakumfanya kingine? ukamstaki kwa kifungu kipi cha sheria? Wataendelea kutumia madaraka vibaya hawa hadi milele yasipobadilika.
 
Kwanini mliamua kuwa na Bunge la watu walipita Kwa magumashi
Sababu ni ccm bila ya magufuli ni mafii ya kuku sisi tulimpa magufuli wabunge lakini baada ya magufuli kufa tutatembea na code mpya wewe huoni mama minido kapoteza mvuto hiyo ndiyo code mpya
 
Ukifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni.

Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
Wao wabunge almost wote walipitia mlango wa uani.
Wanachojua ni kuripoti kwa aliyewapitisha mlango wa uani.
 
inadhihirisha watanzania tunapenda kusema watu kuliko matukio
 
Ukifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni.

Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
Wanafiki hao

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kile kilinge kama vilinge vingine
Ukifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni.

Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
 
Back
Top Bottom