Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hadi kichefuchefuKuanzia Rais hadi wabunge hamna kitu,tulipigwa hapa inshu zinazohusu ustawi wa afya ya Taifa hawajadili, maumivu kwa wananchi juu ya tozo,kupanda bei kwa mafuta ya petrol na Diesel hawaongei,lakini yameguswa kwenye maslahi yao wameng'aka misili ya Simba mwenye njaa,ni bunge la kipumbavu na la kijinga,Ndugai mshenzi sana,kati ya mijitu mijinga isiyotumia akili na busara ni Ndugai!
Sijawahi kuona Bunge la kipumbavu kama hili, wapo kwa maslahi yao tuUkifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni.
Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
Nchi imeshawashinda,saa hizi wanajipigia promo tu kwa huyu SASHA,wameshamuona anademuka tu hana lolote wala chochote na ndo maana hadi mvuto kapoteza kwa wananchi!Yaani hadi kichefuchefu
Gwajima na mwenzio waligusa masrahi ya wafalme.., maana kina Ndugai na wenziye wanajiona ni wafalme.., mpaka wanasahau kama mwisho wao pia ni mchangani kama iliivyo kwa raia wengine.Ukifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni.
Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
Sababu ni ccm bila ya magufuli ni mafii ya kuku sisi tulimpa magufuli wabunge lakini baada ya magufuli kufa tutatembea na code mpya wewe huoni mama minido kapoteza mvuto hiyo ndiyo code mpyaKwanini mliamua kuwa na Bunge la watu walipita Kwa magumashi
Wao wabunge almost wote walipitia mlango wa uani.Ukifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni.
Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
Bunge linapenda kujadili watu kuliko maslahi ya wananchiinadhihirisha watanzania tunapenda kusema watu kuliko matukio
tafuta mahubili yake,acha uvivu wa akiliKwani alikuwa anawambia akina nani? na je kipindi anaongea alikuwa wapi kwani?
Wanafiki haoUkifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni.
Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.
Ukifuatilia jinsi wabunge wanvyo mjadili mtu unashindwa kuelewa hawa wawakilishi walitumwa nini huko bungeni.
Swala la tozo linaumiza mwananchi Hakuna hata wa kuligusia lakini ukisikia wanavyomjadili Silaa na Gwajima utafikiri ndo hayo waliomba kura wakayajadili huko bungeni.