Bunge livunjwe, Wananchi tutasema wenyewe mtandaoni

Bunge livunjwe, Wananchi tutasema wenyewe mtandaoni

Joined
Jul 11, 2020
Posts
66
Reaction score
145
Wabunge wni wawakilishi wa wananchi ambao wapo kwa ajili ya kutetea maslahi ya wananchi. Hii ni tafsiri ya kikatiba lakini kiuhalisia hali ni tofauti.

Niwakumbushe ndugu zangu kulikuwa na ongezeko la bei za vifurushi ambapo ni kelele za wananchi katika mitandao zilizofanya zile bei zishuke, aidha ni bunge ndilo lilipitisha bei zile za kuumiza.

Hivi sasa imepita tozo kwenye miamala ya simu ni wabunge wamepitisha, baada ya wananchi kupiga kelele mtandaoni, leo Julai 19 ndipo Rais amesema waangalie hilo suala.

Pia tupige kelele kabisa kuhusu tozo za kwenye muda wa hewani.

Point Yangu
Kwa kuwa wabunge wamekuwa wakitunga au kupitisha sheria kandamizi kwa wananchi badala ya kuwakilisha hali halisi ya walio mtaani ni vyema wasiwepo ili tujisimamie wenyewe kwa kuwa masuala mengi tumeweza kujisimamia

Aidha Tumeona wabunge wakililia ongezeko la mshahara ambao mshahara ghafi wao ni mara dufu ya mashahara wa mwalimu. Na ni wabunge hao hao ambao hawajui kazi yao bungeni na hubaki kuuliza chombo kipi cha kuiwajibisha serikali.

Katiba Mpya
Kwa hiyo niwape hoja mnaotaka katiba mpya kushauri bunge lisiwepo, tuwe na mawaziri ambao watapita kwa kura za wananchi kisha kuishauri serikali, hii tutaeppusha gharama kubwa inayotumika kila mwaka kulihudumia bunge

Tuungane kuwaambia bunge lisiwepo, tutajisemea wenyewe mtandaoni au kusemewa na Taasisi zisizo za kiserikali.

Nawasilisha
 
Hivi hili bunge haliwezi endeshwa kwa Zoom na Skype? kama hatuwezi badilika kwa mambo madogomadogo hayo makubwa si itakuwa mbinde? Hii nchi bora kishimba awe Rais tujue nchi hatuendeshi kisomi
 
Serikali ya awamu ya sita inapenda kupata hela kiulaini, tozo zote kwenye simu, dah.
 
Moja ya taasisi inayokula fedha nyingi za walipa kodi bila kuwa na faida yeyote ni bunge. Magari ya kifahari na gharama za juu, mishahara iliyonona, posho za vikao, malipo ya kustaafu (kwa kifupi bunge ni sawa na anasa)
 
Wazo zuri sana hili, nimependa bunge letu la mtandaoni maoni huwafikia walengwa haraka na upesi zaidi ya lile bunge la mabwanyenye wanaolinda maslahi yao na kusahau maslahi ya walio wengi.
 
Kama wananchi tunajisemea wenyewe hilo bunge lipo kufanya nini?

Naunga mkono hoja - Livunjwe.
 
Wabunge wni wawakilishi wa wananchi ambao wapo kwa ajili ya kutetea maslahi ya wananchi. Hii ni tafsiri ya kikatiba lakini kiuhalisia hali ni tofauti.

Niwakumbushe ndugu zangu kulikuwa na ongezeko la bei za vifurushi ambapo ni kelele za wananchi katika mitandao zilizofanya zile bei zishuke, aidha ni bunge ndilo lilipitisha bei zile za kuumiza.

Hivi sasa imepita tozo kwenye miamala ya simu ni wabunge wamepitisha, baada ya wananchi kupiga kelele mtandaoni, leo Julai 19 ndipo Rais amesema waangalie hilo suala.

Pia tupige kelele kabisa kuhusu tozo za kwenye muda wa hewani.

Point Yangu
Kwa kuwa wabunge wamekuwa wakitunga au kupitisha sheria kandamizi kwa wananchi badala ya kuwakilisha hali halisi ya walio mtaani ni vyema wasiwepo ili tujisimamie wenyewe kwa kuwa masuala mengi tumeweza kujisimamia

Aidha Tumeona wabunge wakililia ongezeko la mshahara ambao mshahara ghafi wao ni mara dufu ya mashahara wa mwalimu. Na ni wabunge hao hao ambao hawajui kazi yao bungeni na hubaki kuuliza chombo kipi cha kuiwajibisha serikali.

Katiba Mpya
Kwa hiyo niwape hoja mnaotaka katiba mpya kushauri bunge lisiwepo, tuwe na mawaziri ambao watapita kwa kura za wananchi kisha kuishauri serikali, hii tutaeppusha gharama kubwa inayotumika kila mwaka kulihudumia bunge

Tuungane kuwaambia bunge lisiwepo, tutajisemea wenyewe mtandaoni au kusemewa na Taasisi zisizo za kiserikali.

Nawasilisha
Kwa bidii na nguvu zote! tuungane tupaze sauti bunge

"LIVUNJWE"!

Kazi ya kupiga makofi madawati na kuzunguka na viti! wengine wanasinzia tu hovyo![emoji57]
 
Bunge la Ndugai na Tulia ni la kuwatetea Watovu wa Nidhamu kwenye Vyama Vyao. Wamelinajis Bunge sijui watalisafishaje??
 
Wabunge wni wawakilishi wa wananchi ambao wapo kwa ajili ya kutetea maslahi ya wananchi. Hii ni tafsiri ya kikatiba lakini kiuhalisia hali ni tofauti.

Niwakumbushe ndugu zangu kulikuwa na ongezeko la bei za vifurushi ambapo ni kelele za wananchi katika mitandao zilizofanya zile bei zishuke, aidha ni bunge ndilo lilipitisha bei zile za kuumiza.

Hivi sasa imepita tozo kwenye miamala ya simu ni wabunge wamepitisha, baada ya wananchi kupiga kelele mtandaoni, leo Julai 19 ndipo Rais amesema waangalie hilo suala.

Pia tupige kelele kabisa kuhusu tozo za kwenye muda wa hewani.

Point Yangu
Kwa kuwa wabunge wamekuwa wakitunga au kupitisha sheria kandamizi kwa wananchi badala ya kuwakilisha hali halisi ya walio mtaani ni vyema wasiwepo ili tujisimamie wenyewe kwa kuwa masuala mengi tumeweza kujisimamia

Aidha Tumeona wabunge wakililia ongezeko la mshahara ambao mshahara ghafi wao ni mara dufu ya mashahara wa mwalimu. Na ni wabunge hao hao ambao hawajui kazi yao bungeni na hubaki kuuliza chombo kipi cha kuiwajibisha serikali.

Katiba Mpya
Kwa hiyo niwape hoja mnaotaka katiba mpya kushauri bunge lisiwepo, tuwe na mawaziri ambao watapita kwa kura za wananchi kisha kuishauri serikali, hii tutaeppusha gharama kubwa inayotumika kila mwaka kulihudumia bunge

Tuungane kuwaambia bunge lisiwepo, tutajisemea wenyewe mtandaoni au kusemewa na Taasisi zisizo za kiserikali.

Nawasilisha
WABUNGE NI WAWAKILISHIWA MATUMBO YAO, JAPO HUCHAGULIWA NA WANANCHI.
 
Ndg Yangu Wabunge wale Wa CCM Wameenda pale Kutetea Matumbo yao na Familia zao Ndio Maana Unasikia wanasema Pesa yao Iongezwe na Kwamba Haitoshi. Usitegemee Mbunge wa CCM Akutete! Sahau Milele na Jipiganie Mwenyewe. Waliokuwa Wanawakilisha Wananchi ni Wapinzani tu but hao wa Chama cha Kijani wameperekwa na Njaa zao tu.
 
Wabunge wni wawakilishi wa wananchi ambao wapo kwa ajili ya kutetea maslahi ya wananchi. Hii ni tafsiri ya kikatiba lakini kiuhalisia hali ni tofauti.

Niwakumbushe ndugu zangu kulikuwa na ongezeko la bei za vifurushi ambapo ni kelele za wananchi katika mitandao zilizofanya zile bei zishuke, aidha ni bunge ndilo lilipitisha bei zile za kuumiza.

Hivi sasa imepita tozo kwenye miamala ya simu ni wabunge wamepitisha, baada ya wananchi kupiga kelele mtandaoni, leo Julai 19 ndipo Rais amesema waangalie hilo suala.

Pia tupige kelele kabisa kuhusu tozo za kwenye muda wa hewani.

Point Yangu
Kwa kuwa wabunge wamekuwa wakitunga au kupitisha sheria kandamizi kwa wananchi badala ya kuwakilisha hali halisi ya walio mtaani ni vyema wasiwepo ili tujisimamie wenyewe kwa kuwa masuala mengi tumeweza kujisimamia

Aidha Tumeona wabunge wakililia ongezeko la mshahara ambao mshahara ghafi wao ni mara dufu ya mashahara wa mwalimu. Na ni wabunge hao hao ambao hawajui kazi yao bungeni na hubaki kuuliza chombo kipi cha kuiwajibisha serikali.

Katiba Mpya
Kwa hiyo niwape hoja mnaotaka katiba mpya kushauri bunge lisiwepo, tuwe na mawaziri ambao watapita kwa kura za wananchi kisha kuishauri serikali, hii tutaeppusha gharama kubwa inayotumika kila mwaka kulihudumia bunge

Tuungane kuwaambia bunge lisiwepo, tutajisemea wenyewe mtandaoni au kusemewa na Taasisi zisizo za kiserikali.

Nawasilisha
Umesema Kweli. Wazo bora kabisa hili. Shukran nyingi sana mkuu. Kwa hali ilipofikia, sababu ya bunge la JMT kuwepo (raison d'être) haipo tena. Kilichopo pale Dodoma ni aibu ya Taifa.
 
Kikubwa ni kutii na kufuata sheria barabara,pili kinga za viongozi wakuu wa nchi ziondolewe ili utii wa sheria uzingatiwe sawasawa,ukikumbuka tangu Bunge la Katiba wakati wa mwisho wa awamu ya nne sheria za nchi zilikanyagwa vibaya na watawala enzi hizo kulinda misimamo ya ccm na si matakwa ya wananchi,kipindi choote cha awamu ya tano hakuna sheria ya nchi ilifuatwa bali zilitungwa sheria shuruti za kumfurahisha marehemu Magufuri na matokeo yake tumeyaona 2019 tumepata wenyeviti wa vijiji na mitaa ambao hawakutokana na wananchi.Vile vile uchaguzi wa 2020 ulijaa hila za kila namna tangu Julai,angalia kifo cha aliyekuwa rais wa awamu ya tatu Mheshimiwa Benjamini William Mkapa,matukio ya mwezi Oktoba kule Tanzania Visiwani,uchaguzi uliofanyika na majeshi kabla ya uchaguzi mkuu,siku ya uchaguzi umeme kukatika hovyo,mitandao kuingiliwa,vichapo kwa wananchi hasa wafuasi wa vyama vya upinzani,matokeo ya ushindi tuliyoyapokea yalikuwa copy and paste from somewhere in this world chini ya utawala dhalimu wa awamu ya tano.Ni mengi ya kuongea ili jibu kinga ya viongozi kwenye katiba iondolewe ili kuwe na nidhamu katika utendaji.
Wabunge wni wawakilishi wa wananchi ambao wapo kwa ajili ya kutetea maslahi ya wananchi. Hii ni tafsiri ya kikatiba lakini kiuhalisia hali ni tofauti.

Niwakumbushe ndugu zangu kulikuwa na ongezeko la bei za vifurushi ambapo ni kelele za wananchi katika mitandao zilizofanya zile bei zishuke, aidha ni bunge ndilo lilipitisha bei zile za kuumiza.

Hivi sasa imepita tozo kwenye miamala ya simu ni wabunge wamepitisha, baada ya wananchi kupiga kelele mtandaoni, leo Julai 19 ndipo Rais amesema waangalie hilo suala.

Pia tupige kelele kabisa kuhusu tozo za kwenye muda wa hewani.

Point Yangu
Kwa kuwa wabunge wamekuwa wakitunga au kupitisha sheria kandamizi kwa wananchi badala ya kuwakilisha hali halisi ya walio mtaani ni vyema wasiwepo ili tujisimamie wenyewe kwa kuwa masuala mengi tumeweza kujisimamia

Aidha Tumeona wabunge wakililia ongezeko la mshahara ambao mshahara ghafi wao ni mara dufu ya mashahara wa mwalimu. Na ni wabunge hao hao ambao hawajui kazi yao bungeni na hubaki kuuliza chombo kipi cha kuiwajibisha serikali.

Katiba Mpya
Kwa hiyo niwape hoja mnaotaka katiba mpya kushauri bunge lisiwepo, tuwe na mawaziri ambao watapita kwa kura za wananchi kisha kuishauri serikali, hii tutaeppusha gharama kubwa inayotumika kila mwaka kulihudumia bunge

Tuungane kuwaambia bunge lisiwepo, tutajisemea wenyewe mtandaoni au kusemewa na Taasisi zisizo za kiserikali.

Nawas
 
Wabunge wni wawakilishi wa wananchi ambao wapo kwa ajili ya kutetea maslahi ya wananchi. Hii ni tafsiri ya kikatiba lakini kiuhalisia hali ni tofauti.

Niwakumbushe ndugu zangu kulikuwa na ongezeko la bei za vifurushi ambapo ni kelele za wananchi katika mitandao zilizofanya zile bei zishuke, aidha ni bunge ndilo lilipitisha bei zile za kuumiza.

Hivi sasa imepita tozo kwenye miamala ya simu ni wabunge wamepitisha, baada ya wananchi kupiga kelele mtandaoni, leo Julai 19 ndipo Rais amesema waangalie hilo suala.

Pia tupige kelele kabisa kuhusu tozo za kwenye muda wa hewani.

Point Yangu
Kwa kuwa wabunge wamekuwa wakitunga au kupitisha sheria kandamizi kwa wananchi badala ya kuwakilisha hali halisi ya walio mtaani ni vyema wasiwepo ili tujisimamie wenyewe kwa kuwa masuala mengi tumeweza kujisimamia

Aidha Tumeona wabunge wakililia ongezeko la mshahara ambao mshahara ghafi wao ni mara dufu ya mashahara wa mwalimu. Na ni wabunge hao hao ambao hawajui kazi yao bungeni na hubaki kuuliza chombo kipi cha kuiwajibisha serikali.

Katiba Mpya
Kwa hiyo niwape hoja mnaotaka katiba mpya kushauri bunge lisiwepo, tuwe na mawaziri ambao watapita kwa kura za wananchi kisha kuishauri serikali, hii tutaeppusha gharama kubwa inayotumika kila mwaka kulihudumia bunge

Tuungane kuwaambia bunge lisiwepo, tutajisemea wenyewe mtandaoni au kusemewa na Taasisi zisizo za kiserikali.

Nawasilisha
Fact
 
Wazo zuri sana hili, kama wabunge wameshindwa kuwasemea wananchi kwenye masuala kama haya basi uwepo wao hauna faida zaidi ya hasara, tufute bunge tubaki na bunge la mtandaoni.
 
Chamwenzako si chanko mwanangu acha nayeye afaidi.
Wivu kidonda mwanangu, waliopisha hizo sheria walikua na akili Kama wewe
 
Back
Top Bottom