Bunge ni Mhimili Huru, si busara kukatisha Matangazo Mubashara ya Bunge kupisha matangazo mengine

Bunge ni Mhimili Huru, si busara kukatisha Matangazo Mubashara ya Bunge kupisha matangazo mengine

KATIBA MPYA
KATIBA MPYA
KATIBA MPYA
KATIBA MPYA
KATIBA MPYA
KATIBA MPYA
 
Kaka Pascal kama spika tu alikuwa hako ikulu na alikuwa naongea kama sehemu ya serikali unategemee nini, kama spika hana wivu na mhimili wake na anatii mhimili mwingine kwanini huu mhimili mwingine umjali yeye. spika inabidi atambue kazi yake ni kusimamie na kushauri serikali inanisikitisha leo kumouna anaongea kama nae ni shemu ya serikali na anaripoti kwa Raisi.
 
Wito kwa TBC: Kwa vile nyinyi ndio watangazaji wa matangazo live ya Bunge, mfike mahali hayo matangazo ya Bunge Live, yawe " ring fenced", yafanywe ka ni right ya Watanzania kuangalia Bunge live na sio kama hisani, ili ili wakati wa kipindi cha Bunge, likija ombi jingine lolote la taasisi yoyote kuomba kutangaziwa live tukio lake, then waambiwe huu ni muda wa Bunge live na muda huo haupatikani kwa taasisi nyingine yoyote, na badala yake matangazo yao yaanze saa 5:00 asubuhi baada kipindi cha Bunge Live kumalizika.
Nadhani tuweke kipengele kwenye katiba bunge liwe live ili tumalize tatizo hili.
Kwa sasa TBC wanapoonesha bunge live sio lazima ni moja ya vipindi tu kama vile mahoka,tusiwanyanyase saana wakati hawajafungwa mikono kuonesha tukio lolote live.
 
Kitendo cha kupanga tukio jingine lolote litangazwe live kwa muda ule ule wa matangazo live ya Bunge, halafu matangazo ya Bunge yakakatishwa, kupisha matangazo ya tukio jingine, ni dharau kwa Bunge letu tukufu.

Hahaaaa!
Mkuu Paskali! Kuna uzi humu kuhusu Lissu kulalamika Ripoti kutokujadiliwa Bungeni na badala yake imewasilishwa Ikulu hivyo inatosha kusema mwenye mamlaka yuko Magogoni kwa hiyo walioko Dodoma siyo muhimu.
 
kwa nini ushangai Spika mwenye yuko tayari kuacha bunge na kufuata kusikiliza hayo yaliyofanya bunge lisiwe live?wenye mawazo kama yako hawakuwepo pale na jimbo hilo ulilolesema linaitaji hekima kubwa kulijua
 
Kabisa kiongozi watu mapaka leo bado wana mawazo mgando katika maendeleo ya nchi, kweli unaweza kulalamika eti badala ya kuonyesha bunge wameonyesha mkuu wa Nchi akiongelea mambo ya kizarendo kwa ajili ya watu masikini tena ilikuwa ni breaking news. angekuwa ameanzisha hii topic ni kiraza ningeelewa lakini ni mtu msomi na anahesimika katika jamii, kweli nimeamini now days most of people wanafikilia kwa kutumia masabuli
 
utatu katika nafsi moja

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Back
Top Bottom