Bunge lipo pale kwa maslani yao na sio kwa maslahi ya wananchi, wabunge wanapitisha sheria nyingi zisizo wanufaisha wananchi moja kwa moja mfano Tozo na kujiongezea mishahara. Mbunge anayeonekana kuwa upande wa wananchi huundiwa kashifa za uongo na hata kusimamishwa vikao vya bunge.
Jeshi la polisi lenyewe halipo kwa ajili ya usalama wa wananchi lipo kwa usalama wa viongozi hasa wa kisiasa, linatuhumiwa kwa utekaji, kubambikia watu kesi, linatuhumiwa kwa ujambazi, linaongoza katika vitendo vya kunyanyasa wananchi mitaani na hasa vijijini polisi wanaonekana kama miungu watu, polisi inaongoza kwa rushwa nchini.
TRA ni taasisi inayolalamikiwa sana na wafanya biashara kwa kubambikia wafanyabiashara kodi na kupelekea wengi kufilisiwa. TRA inapendelea wafanyabiashara wakubwa na kuwakamua wale wadogo ambao ndio wengi.
Jeshi la polisi lenyewe halipo kwa ajili ya usalama wa wananchi lipo kwa usalama wa viongozi hasa wa kisiasa, linatuhumiwa kwa utekaji, kubambikia watu kesi, linatuhumiwa kwa ujambazi, linaongoza katika vitendo vya kunyanyasa wananchi mitaani na hasa vijijini polisi wanaonekana kama miungu watu, polisi inaongoza kwa rushwa nchini.
TRA ni taasisi inayolalamikiwa sana na wafanya biashara kwa kubambikia wafanyabiashara kodi na kupelekea wengi kufilisiwa. TRA inapendelea wafanyabiashara wakubwa na kuwakamua wale wadogo ambao ndio wengi.