Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
Hivi bunge la Tanzania linaweza kuitwa bunge tukufu , au ni kilemba cha ukoka ? Kuipitisha Katiba kimagumashi na kibabe kwa kutumia otmeli na twita au whatsup kwa namahujaji kukanusha kupiga kura wakiogopea hija yao kupigwa na chini,ni wazi kulifanyika udanganyifu Je utukufu wa Bunge upo wapi ???:mvutaji: