Bunge tukufu

Bunge tukufu

Ha ha ha situmiki kama ww mkuu!! Na siko hapa kujaza server ndg. Mmenijua ? Ww na team yako au nani? Myopic thinking!!

Mm huwa nasadiki ktk ukweli tu. Hata ww ukileta hoja yenye mantiki na maslahi kwa Taifa nitakuunga mkono. Tusikae kisiasa/ Ki itikadi bila busara, utakuwa wa hovyo kupindukia.


Kama nimekuudhi nisamehe. Hapa ni kueleweshana si uwanja wa matusi wala ubabe!!

Sasa nani anatumika humu ndani we unavyodhani? coz ukisema kwamba kuna watu wanatumika na hao watakwambia na wewe umetumwa ama unatumika pia, uachekuropoka, kila mtu yuko kwa maslai ya Taifa, nakushangaa wewe unapoukataa ukweli, chamsingi uelewe kuwa kuna umuhimu wa wewe kuisoma vizuri katiba hii na uje na hoja za maana, hayo mambo mengine si mahala pake hapa.
 
Ha ha ha situmiki kama ww mkuu!! Na siko hapa kujaza server ndg. Mmenijua ? Ww na team yako au nani? Myopic thinking!!

Mm huwa nasadiki ktk ukweli tu. Hata ww ukileta hoja yenye mantiki na maslahi kwa Taifa nitakuunga mkono. Tusikae kisiasa/ Ki itikadi bila busara, utakuwa wa hovyo kupindukia.


Kama nimekuudhi nisamehe. Hapa ni kueleweshana si uwanja wa matusi wala ubabe!!


Unajua ukweli wewe? Acha ubabaishaji wako hapa. "Myopic thinking!!" Nimesadiki kuwa huwezi kutoa kitu usichonacho. Nimefurahi kwamba umejitambua kuwa wewe ni "Myopic thinking!!" katika maisha yako. Mtu asiyejijali ni hakuna, I agree in your low and diminished thinking. Jitahidi kuingia humu JF mara kwa mara utastaarabika siku moja. Kumbuka wewe ni Mtanzania kama kweli ni Mtanzania maana ninawasiwasi unaweza kuwa mamluki. Zaidi ya hayo isome Katiba Inayopendekezwa kwa maslahi mapana ya nchi yetu.
 
Sasa nani anatumika humu ndani we unavyodhani? coz ukisema kwamba kuna watu wanatumika na hao watakwambia na wewe umetumwa ama unatumika pia, uachekuropoka, kila mtu yuko kwa maslai ya Taifa, nakushangaa wewe unapoukataa ukweli, chamsingi uelewe kuwa kuna umuhimu wa wewe kuisoma vizuri katiba hii na uje na hoja za maana, hayo mambo mengine si mahala pake hapa.

Kwa hiyo ww ndio unae nisomea hiyo Katiba?
 
Ha ha ha situmiki kama ww mkuu!! Na siko hapa kujaza server ndg. Mmenijua ? Ww na team yako au nani? Myopic thinking!!

Mm huwa nasadiki ktk ukweli tu. Hata ww ukileta hoja yenye mantiki na maslahi kwa Taifa nitakuunga mkono. Tusikae kisiasa/ Ki itikadi bila busara, utakuwa wa hovyo kupindukia.


Kama nimekuudhi nisamehe. Hapa ni kueleweshana si uwanja wa matusi wala ubabe!!

Unajua ukweli wewe? Acha ubabaishaji wako hapa. “Myopic thinking!!” Nimesadiki kuwa huwezi kutoa kitu usichonacho. Nimefurahi kwamba umejitambua kuwa wewe ni “Myopic thinking!!” katika maisha yako. Mtu asiyejijali ni hakuna, I agree in your low and diminished thinking. Jitahidi kuingia humu JF mara kwa mara utastaarabika siku moja. Kumbuka wewe ni Mtanzania kama kweli ni Mtanzania maana ninawasiwasi unaweza kuwa mamluki. Zaidi ya hayo isome Katiba Inayopendekezwa kwa maslahi mapana ya nchi yetu.
 
[FONT="]Unajua ukweli wewe? Acha ubabaishaji wako hapa. “Myopic thinking!!” Nimesadiki kuwa huwezi kutoa kitu usichonacho. Nimefurahi kwamba umejitambua kuwa wewe ni “Myopic thinking!!” katika maisha yako. Mtu asiyejijali ni hakuna, I agree in your low and diminished thinking. Jitahidi kuingia humu JF mara kwa mara utastaarabika siku moja. Kumbuka wewe ni Mtanzania kama kweli ni Mtanzania maana ninawasiwasi unaweza kuwa mamluki. [B]Zaidi ya[/B] [B]hayo [/B][/FONT][B]isome Katiba Inayopendekezwa kwa maslahi mapana ya nchi yetu.[/B][FONT="][/FONT]
Mtatumika sana mwaka huu
 
nikusomee kwani we uko chekechea? nakuelewesha uache ubishi usio na maana na uukubali ukweli wa mambo.

Mkuu nimeona kujenga hoja hujui!! Haya tuachane na Siasa/ Katiba. Hizi siasa tuwaachie akina Nape, Lowassa, Dr. Slaa, Prof. Lipumba, J. Mbatia.

JF ni chatting tu jameni uziraaa utadhani nchi yako bhana!!

Vipi game za leo mf Liverpool Vs Man utd au Barcelona Vs Real Madrid unasapoti upande gani? Hapa napo ukae?
 
kojoa ukalale wewe, umeishiwa hoja maneno yanakuumiza kichwa pumzika au chota maji hapo mvua kubwa inanyesha saidia kuchotea maji hapo kwa shemeji aliemuoa dada yako.hahahhahha pole sana vumilia ndo ukubwa huo.

Hawa vijana wa B7 wanahoja za ajabu ajabu , sijui huwa wanawaokota wapi?
 
mkuu nimeona kujenga hoja hujui!! Haya tuachane na siasa/ katiba. Hizi siasa tuwaachie akina nape, lowassa, dr. Slaa, prof. Lipumba, j. Mbatia.

Jf ni chatting tu jameni uziraaa utadhani nchi yako bhana!!

Vipi game za leo mf liverpool vs man utd au barcelona vs real madrid unasapoti upande gani? Hapa napo ukae?

hahahahah nlishakwambia wewe unahitaji kujipanga kuja kwangu nakupa dozi tu mwanzo mwisho, hatuzungumzii mambo ya mpira hapa, tunajadili mustakabali wa taifa letu hususani katibainayopendekezwa jinsi ilivyo makini katika kuhakikisha kuwa kila mtanzania atanufaika nayo, we unataka kuleta hoja nyingine hapa, kama umechoka nimekwambia signout kojoa ulale.
 
Mtatumika sana mwaka huu

Wee wa wapi? Binadamu asiyejishughulisha jina lake siyo tena binadamu. Unahofu gani watu wenye uhai kushughulika? Kwenda zako jitambue ujali nchi yako. Penda ulichonacho na usitamani usichokiona. Watanzania tulichonacho mbele yetu ni Katiba Inayopendekezwa, Ungana na wenzako acha uduwanzi
 
hawa vijana wa b7 wanahoja za ajabu ajabu , sijui huwa wanawaokota wapi?

message sent, unalo hilooo utateseka sana kufa haufi chamoto utakionaaa, katiba hii ndo mpango mzima bhana mi nataka ifike wakati mwenyewe ukubali ukweli na uache ubishi usio na tija humu ndani.
 
kojoa ukalale wewe, umeishiwa hoja maneno yanakuumiza kichwa pumzika au chota maji hapo mvua kubwa inanyesha saidia kuchotea maji hapo kwa shemeji aliemuoa dada yako.hahahhahha pole sana vumilia ndo ukubwa huo.

Tatzo una ID nyingi hadi unasahau nimekuquote na ipi?

Kwahoja hizi nainua mikono yangu juu Umenishinda.
 
tatzo una id nyingi hadi unasahau nimekuquote na ipi?

Kwahoja hizi nainua mikono yangu juu umenishinda.

sio id, umechanganyikiwa na majibu matata nayokupa, kwani nimetumia id ipi zaidi ya hii? Unaweweseka hapo mchana kweupeee, acha kukurupuka utadhani unakimblia kuchukua chakula cha msaada wa njaa.
 
hahahahah nlishakwambia wewe unahitaji kujipanga kuja kwangu nakupa dozi tu mwanzo mwisho, hatuzungumzii mambo ya mpira hapa, tunajadili mustakabali wa taifa letu hususani katibainayopendekezwa jinsi ilivyo makini katika kuhakikisha kuwa kila mtanzania atanufaika nayo, we unataka kuleta hoja nyingine hapa, kama umechoka nimekwambia signout kojoa ulale.

Kwanza una division ngapi form 4 na form 6? Nisije kuwa nakuonea bure!!
 
kwanza una division ngapi form 4 na form 6? Nisije kuwa nakuonea bure!!

laiti ungejua!! Khaaaa kumbe ndo maana hujielew, kumbe naongea na mfu!! Pole sana, darasa lako ulilokimbia huwezi linganisha na langu, ndo maana nakushinda kwenye hoja, unatapatapa kama mfa maji mpaka unaanza kuingiza mambo mara ya mpira, mara form ngapi, mara huku katiba, be in the right track, acha kutapatapa leo nakupa dozi mpaka uchanganyikiwe utembee uchi.
 
sio id, umechanganyikiwa na majibu matata nayokupa, kwani nimetumia id ipi zaidi ya hii? Unaweweseka hapo mchana kweupeee, acha kukurupuka utadhani unakimblia kuchukua chakula cha msaada wa njaa.

Daah waliowatuma wanahasara? Std 7 au Div 5?
 
Back
Top Bottom