Hata UKAWA nao nawasikia wakisema bunge tukufu ,nao ni wagonjwa wa utapia mlo ,misimamo yao ni nguvu ya soda ,sio endelevu,
hivi bunge la tanzania linaweza kuitwa bunge tukufu , au ni kilemba cha ukoka ? Kuipitisha katiba kimagumashi na kibabe kwa kutumia otmeli na twita au whatsup kwa namahujaji kukanusha kupiga kura wakiogopea hija yao kupigwa na chini,ni wazi kulifanyika udanganyifu je utukufu wa bunge upo wapi ???:mvutaji:
Sifa ya kwanza kwa mwanachama wa ccm lazima uwe magumashi
ukiondoa ukawa, walio baki wote ni vibaka tena washukuru wako mjengoni. Mf chenge angekuwa kitaa, angakuwa na selo yake special make kila wiki angekuwa anaswekwa ndani.
huna hoja kijana, hayo wala hayaendani na mambo tunayojadili humu, nakushauri uisome katiba inayopendekezwa ujue namna viongozi watakavyowajibika kupitia katiba hii.
kwahiyo kwa uulewa wako finyu!! Mwizi au mng'ang'ania madaraka ataleta katiba nzr achilia mbali uchakachuzi uliofanyika hadharani?
Kwahiyo kwa uulewa wako finyu!! Mwizi au mng'ang'ania madaraka ataleta katiba nzr achilia mbali uchakachuzi uliofanyika hadharani?
Sasa nimetambua umekuwa na uelewa mdogo na mawazo mgando. Kwanini unakuwa mfupi wa fikra hivyo. Nchi hii ni yetu sote. Simama tujenge msingi imara wa taifa letu, msingi huo ni Katiba ambayo sasa nchi yetu imefikia hatua ambayo tayari tuna Katiba Inayopendekezwa. Isome na mhimize jirani yako aisome acha kuwa kama mtu asiye na malengo katika maisha. Uwe mchango mkubwa wa historia ya Tanzania kupata Katiba Mpya.
Sasa nimetambua umekuwa na uelewa mdogo na mawazo mgando. Kwanini unakuwa mfupi wa fikra hivyo. Nchi hii ni yetu sote. Simama tujenge msingi imara wa taifa letu, msingi huo ni Katiba ambayo sasa nchi yetu imefikia hatua ambayo tayari tuna Katiba Inayopendekezwa. Isome na mhimize jirani yako aisome acha kuwa kama mtu asiye na malengo katika maisha. Uwe mchango mkubwa wa historia ya Tanzania kupata Katiba Mpya.
id zenu zote za tarehe 15/03/2015 , uelewa wenu ni sawa na duration yenu. Kaa mbali na mafisadi!!..
ukubwa wa pua si uwingi wa makamasi, wewe id yako ya zamani lakini kichwani zeroooo, we nani kakwambia kutangulia ndo kufika? Kweli hujielewi au umechanganyikiwa na dozi za maneno ulizopewa? Kakaka unalo hilooo kama imekuuma kunywa sumu ufe.
Una ID nyingi sn mkuu. Am sorry by the way I hope you are empty headed.
we endelea kuota ota mchan kweupeee, huniwezi we mchumia tumbo tu, kajipange upyaa ndo uje humu.
ID zenu zote za Tarehe 15/03/2015 , uelewa wenu ni sawa na Duration yenu. Kaa mbali na Mafisadi!!..
Tatzo lako unadhani kukuweza ni kuandika rundo au ubishi wakati una andika rubbish!!
Hongera B7
wewe tumeshakujua tena mko wengi wa namna hiyo, wala sihitaji kutaja majina, hamuweiz kuweka hoja zaidi ya pumba, una akili kama ya kuku