Ewe binti kuwa na adabu then rusi jifunze kuandika na kupangilia hoja.Wewe ndiye mpuuzi na pimbi mkubwa. Ukome kushadidia visivyokuhu nyumbu mkubwa. Chanjo ni hiari na nyie subirini, tutawaangamiza 2025. Msifkiri watanzania wanafurahia mnavyojihemua kuandama watu kwa kwenda kinyume na misingi ya mzalendo Dkt Magufuli
Rashidi bwana. Sasa kama anaweza kufufua nini kitamtisha tena duniani, uchawi? Sumu? Mzee wa amfifiro ana imani haba
Ni kweli kuna kipindi ninakuelewa kuwa unapenda ukweli, lakini pia una chuki zisizo na sababuDrama king [emoji1780]
Huyu jamaa atakua unknown TISS...Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amekataa kukaa kwenye kiti pamoja na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa alipofika mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge inayoongozwa na Mwenyekiti wake Emmanuel Adamson Mwakasaka, na kuomba vibadilishwe.
Alishafanyiziwa enzi za MakondaKaogopa yasimkute ya horace kolimba
Hahahw[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huyu mwamba anasumbua sana hawa wakuu ase
Kipi kina nguvu kuzidi kingine kiimani.Uchawi na Mungu vyote vipo.
Kuna chuki yoyote hapo?Ni kweli kuna kipindi ninakuelewa kuwa unapenda ukweli, lakini pia una chuki zisizo na sababu
Mbona chadema hawakupimwa akili kipindi kile ni mshenga wao wa kumleta lowasa?Hakika wale wanaomfuata huyu jamaa na kuwa waumini wake kanisani wanabidi wapimwe akili
Aliwalaghi chadema yote akawa mshenga wao wa kumleta lowasa! Bila shaka chadema ni maboya sanaAkili gani alizonazo?
Labda za kuwalaghai maboya kama wewe na misukule yake inayojazana kanisani
Mbona maaskofu wako kila siku wanavaa barakoa madhabahuni?Hayuko kiroho hata, ni mganga njozi tu.
Kama anamwamini Bwana Yesu, hofu za nini?
He just somebody kivuruge.
Na kweli una imani habaItakuwa imani yangu haba lakini nikiwa na imani thabiti hakuna kitakachotokea kumbuka hata yesu aliweza kuyafanya aliyoyafanya kutokana na imani yake thabiti.
nyundo ya kichwa hio mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Mbona maaskofu wako kila siku wanavaa barakoa madhabahuni?
Machale gani ujinga tupu,angekuwa na machale angeenda na kiti chake na maiki yake,Yeye ni jasusi la mbinguni na jasusi lazima awe na machale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanataka imani iwe kwa Gwajima tu ila kwa mapadri hapana!nyundo ya kichwa hio mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Sumu siyo issue ya uchawi bwasheeAnajifanya mcha Mungu halafu anakuwa na imani za kishirikina! Ni kipi kinamshinda Mungu iwe uchawi au sumu?